Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

mashoga wa kagame kazi mnayo, bado tutakuja kigali kuwapumulia kisogoni baada ya kazi nzuri ya goma! Endelea kusubiri

Umepanic sana nigga usimaindi coz ikiwa ni shoga ndio inauma ila kama sio ni kama black kwenye Pool table ....
 
Tatizo lenu mliisha jiweka nafasi ya super power,na kingine minority kwenu hana haki,kwafikira hizo sioni ajabu TZ kusaidi FDLR.

Siku Tanzania itakapoamua kuisaidia FDLR Count yourselves out of Kigali...lazima mtoke....Tanzania never fails katika maeneo hayo....we always win
 
Acha upuuzi si juzi jk alienda kupiga magoti akiomba msamaa pk huko kampala,please jk ndie anajua pk anauwezo gani sio nyie wapiga debe bila kuju dereva anafikiria nini.

Hii baba wanajifanya hawaijui waTz kua baba yao alienda kule Kampala akamuomba m7 kua yaishe samahani niliteleza Bt Kagame The Real man akasema tulia wewe mwanaume ni kukaza ubishi mwanzo mwinga. Katisha Kagame na sasa hyo ndio inawauma kua baba yao alienda kupiga magot kule.
 
unataka kuwasemea watanzania? Haja ya kuikomboa kigali ni muhimu kwa ustawi wa amani na uchumi wa maziwa makuu. Rwanda chini ya kagame imevuruga kabisa ustawi wa maziwa makuu

Mlizoea wale marais waliosinzia sasa mna deal na kichwa makini,hapo kijasho kita watoka,jamaa si wakawaida,mngepata bahati rahisi kama huyu na fikiri mngeitwa super power ya ukweli siyo fake super power.
 
Acha upuuzi si juzi jk alienda kupiga magoti akiomba msamaa pk huko kampala,please jk ndie anajua pk anauwezo gani sio nyie wapiga debe bila kuju dereva anafikiria nini.

Hautakaa uuelewe uwezo wa Tanzania na viongozi wake...we are people of Peace......huwezi kuendeleza majibizano na --------...mtu anashauriwa anaanza kutukana ...si -------- huyo.....Hekima kubwa amekua nayo JK kuamua kupotezea hiyo mambo...Eti JK ampigie magoti PK....Hivi hata kama vita ikitokea kati ya Tanzania na Rwanda...do u expect mtashinda? sio mnajaza tu server na nonsense zenu
 
Duh...ni ajabu kwa mwanaume kumsifia mwanaume mwenzake eti ni "Real Man" anakupumul.i.a nini? Acha upoyoyo wewe....nyie sio saizi ya Tanzania...hamuwezi ku compete na Tanzania katika mizania yoyote
Usipanic taratibu nitatumia hata mafuta ......
 
Hautakaa uuelewe uwezo wa Tanzania na viongozi wake...we are people of Peace......huwezi kuendeleza majibizano na --------...mtu anashauriwa anaanza kutukana ...si -------- huyo.....Hekima kubwa amekua nayo JK kuamua kupotezea hiyo mambo...Eti JK ampigie magoti PK....Hivi hata kama vita ikitokea kati ya Tanzania na Rwanda...do u expect mtashinda? sio mnajaza tu server na nonsense zenu

Vita gan mzee na itatokea lini hyo vita au unaiskia tu kwenye Movie hyo vita ma Nigga. Inaonekana umemaindi punguza hasira.
 
watu wanahitaji kuelimishwa rwanda kuna kabila moja tu "wanyarwanda"hayo ya wahutu,watusi na watwa,ni tabaka la watu:wakulima,wafugaji na wawindaji,sasa sikuhizi huwezi watofautisha kuna watu walikua katika tabaka la wafugaji hivi ni wakulima naa kuna wengine walikua wakulima sasa ni wafugaji,hivyo ndivyo wanyarwanda wanavyo define tutsi,hutu and twa.

kawaelimishe mashoga zako huko kigali
 
Siku Tanzania itakapoamua kuisaidia FDLR Count yourselves out of Kigali...lazima mtoke....Tanzania never fails katika maeneo hayo....we always win

Mbona mliisha fail mwanzo,wakati jk alisema pk aongee na FDLR ndio ulikua mwanzo wa kushindwa,na sasa UN itabidi iwakamate hao FDLR na kupelekwa kizimbani rwanda,na JWTZ watakua mstali wa mbele kulitekeleza hilo,hakuna mazungumuzo period pk kasema,jk ata implement through JWTZ,ahahah
 
mlizoea wale marais waliosinzia sasa mna deal na kichwa makini,hapo kijasho kita watoka,jamaa si wakawaida,mngepata bahati rahisi kama huyu na fikiri mngeitwa super power ya ukweli siyo fake super power.

kwa kuua wapinzani na vita vya kikabila kweli kagame si mchezo, kawaua magenerali wote walio mweka madarakani, kaendesha vita ya uporaji na kuua watu wengi kule drc
 
kwa kuua wapinzani na vita vya kikabila kweli kagame si mchezo, kawaua magenerali wote walio mweka madarakani, kaendesha vita ya uporaji na kuua watu wengi kule drc

Tafuta movie za kimafia au zile za ma Gangsta utajua wtf hii dunia iko vipi.wewe kagame kuua inakuhusu nini una ndugu Rwanda au ndio ule Utanzania kujua hata jirani kala nini.acha usnitch bitch.
 
kwa kuua wapinzani na vita vya kikabila kweli kagame si mchezo, kawaua magenerali wote walio mweka madarakani, kaendesha vita ya uporaji na kuua watu wengi kule drc

Wewe huna lolote ni kisirani tu,rwanda ina mageneral wangapi?waliokufa wangapi?waliohai wangapi?unasema wote sasa rwanda haina ma general?
 
sasa kuna nini hapo? na si ajabu ndiyo shule ya kimataifa ya kule kigali, nikiweka picha ya st anna primary school huyu mshamba atasema ni ulaya

Rwanda huwa ina viproject vya kujishaua kwa wazungu, lakini hii ndio reality, ndio maana ukiwauliza kama kwao kumejaa milaptop wahamiaji haramu wanatafuta nini bongo hawawezi kujibu.
 
Watu wanahitaji kuelimishwa rwanda kuna kabila moja tu "wanyarwanda"hayo ya wahutu,watusi na watwa,ni tabaka la watu:wakulima,wafugaji na wawindaji,sasa sikuhizi huwezi watofautisha kuna watu walikua katika tabaka la wafugaji hivi ni wakulima naa kuna wengine walikua wakulima sasa ni wafugaji,hivyo ndivyo wanyarwanda wanavyo define tutsi,hutu and twa.

hicho kisingizio cha "wanyarwanda" ni mbinu ya kuficha kuwa majority wanakuwa ruled na minority! hakiondoi ukweli kuwa watutsi wanatawala kimabavu wahutu na watwa.
na tena leo kuna tabaka lengine. ukiwa pro-RPF wewe ndio mnyarwanda, ukiwa opposition wewe FDLR regardless umekuwa RPF muda gani.
 
Back
Top Bottom