mashoga wa kagame kazi mnayo, bado tutakuja kigali kuwapumulia kisogoni baada ya kazi nzuri ya goma! Endelea kusubiri
Tatizo lenu mliisha jiweka nafasi ya super power,na kingine minority kwenu hana haki,kwafikira hizo sioni ajabu TZ kusaidi FDLR.
Acha upuuzi si juzi jk alienda kupiga magoti akiomba msamaa pk huko kampala,please jk ndie anajua pk anauwezo gani sio nyie wapiga debe bila kuju dereva anafikiria nini.
unataka kuwasemea watanzania? Haja ya kuikomboa kigali ni muhimu kwa ustawi wa amani na uchumi wa maziwa makuu. Rwanda chini ya kagame imevuruga kabisa ustawi wa maziwa makuu
Acha upuuzi si juzi jk alienda kupiga magoti akiomba msamaa pk huko kampala,please jk ndie anajua pk anauwezo gani sio nyie wapiga debe bila kuju dereva anafikiria nini.
Usipanic taratibu nitatumia hata mafuta ......Duh...ni ajabu kwa mwanaume kumsifia mwanaume mwenzake eti ni "Real Man" anakupumul.i.a nini? Acha upoyoyo wewe....nyie sio saizi ya Tanzania...hamuwezi ku compete na Tanzania katika mizania yoyote
Hautakaa uuelewe uwezo wa Tanzania na viongozi wake...we are people of Peace......huwezi kuendeleza majibizano na --------...mtu anashauriwa anaanza kutukana ...si -------- huyo.....Hekima kubwa amekua nayo JK kuamua kupotezea hiyo mambo...Eti JK ampigie magoti PK....Hivi hata kama vita ikitokea kati ya Tanzania na Rwanda...do u expect mtashinda? sio mnajaza tu server na nonsense zenu
watu wanahitaji kuelimishwa rwanda kuna kabila moja tu "wanyarwanda"hayo ya wahutu,watusi na watwa,ni tabaka la watu:wakulima,wafugaji na wawindaji,sasa sikuhizi huwezi watofautisha kuna watu walikua katika tabaka la wafugaji hivi ni wakulima naa kuna wengine walikua wakulima sasa ni wafugaji,hivyo ndivyo wanyarwanda wanavyo define tutsi,hutu and twa.
Siku Tanzania itakapoamua kuisaidia FDLR Count yourselves out of Kigali...lazima mtoke....Tanzania never fails katika maeneo hayo....we always win
mlizoea wale marais waliosinzia sasa mna deal na kichwa makini,hapo kijasho kita watoka,jamaa si wakawaida,mngepata bahati rahisi kama huyu na fikiri mngeitwa super power ya ukweli siyo fake super power.
kawaelimishe mashoga zako huko kigali
Nafikiri pk aliisha sema kwamba wanahaki ya kukata misaada kwani hakuna aliye waomba misaada ni wenyewe wanaji commit,pk huwa haombi wanajileta wenyewe.
kwa kuua wapinzani na vita vya kikabila kweli kagame si mchezo, kawaua magenerali wote walio mweka madarakani, kaendesha vita ya uporaji na kuua watu wengi kule drc
kwa kuua wapinzani na vita vya kikabila kweli kagame si mchezo, kawaua magenerali wote walio mweka madarakani, kaendesha vita ya uporaji na kuua watu wengi kule drc
Mringee..?? Kwa kipi hasa mlicho nacho...???
mashoga wa kagame kazi mnayo, bado tutakuja kigali kuwapumulia kisogoni baada ya kazi nzuri ya goma! Endelea kusubiri
sasa kuna nini hapo? na si ajabu ndiyo shule ya kimataifa ya kule kigali, nikiweka picha ya st anna primary school huyu mshamba atasema ni ulaya
we mkulima nini? Umekosa cha kujibu unatokwa povu na matusi,pole sana waswahili husema asifiae mvua........unaweza kua shoga ndio maana!
hujui kilicho wapata jwtz drc,ndio maana unajiongelesha upuuzi hapa.
Watu wanahitaji kuelimishwa rwanda kuna kabila moja tu "wanyarwanda"hayo ya wahutu,watusi na watwa,ni tabaka la watu:wakulima,wafugaji na wawindaji,sasa sikuhizi huwezi watofautisha kuna watu walikua katika tabaka la wafugaji hivi ni wakulima naa kuna wengine walikua wakulima sasa ni wafugaji,hivyo ndivyo wanyarwanda wanavyo define tutsi,hutu and twa.