FLASH HIDER
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 397
- 508
- Thread starter
-
- #101
hivi hujaona historia ambayo kaitoa kuhusu kiini cha mgogoro au mnataka mjaze thread bure??.
hivi hujaona historia ambayo kaitoa kuhusu kiini cha mgogoro au mnataka mjaze thread bure??.
.Hayo magari wanayo na pia yale kama vifaru pia yapo. Sijui ni kwanini lakini hata wanajeshi wa DRC, India na Pakistan wanatumia magari hayo hayo kwa movement kutoka eneo moja kwenda lingine. Usinifananishe kaka mimi na yule Waziri wa Ulinzi wa Iraq, nitake radhi bwana Pache.
.
Nakutaka radhi mkuu, ingawaje lengo langu ilikuwa ni kufikisha ujumbe kwa wahusika waongeze umakini katika utoaji habari wa masuala haya. Tusije tumia mbinu za saadam.
Hata hivyo nimeona uzalendo wako, nakupongeza kwa kazi nzuri.
Niombe radhi mkuu hapo kwenye jina ni peche sio Pache, pamoja sana.
Tupo pamoja kaka
Kaka ulivyo utamaduni wa Kitanzania, TUMESAMEHEANA na mimi nakumba radhi ya maandishi mabaya ya jina lako.
Karibu Goma
Nadhani ndio maana kagame ameanza visa na Tanzania....tutamtandika kama mwizi, hatujui huyu
kikinuka naacha kazi naende kigali kumtoa jicho!
Ulichozungumza Kilio changu ni kweli kabisa. Kwa mtazamo wangun(ambao unaweza pia kuwa challenged), matatizo ya DRC is more than M23. Kuna vikundi vingine veye silaha zaidi ya 25. Rushwa, unskilled workforce, patriotism ni sifuri kabisa. Wanahtaji reform ya maana kabisa. Sisi tulibahatika kutembelea nchi mbalimbali kibiashara tunaona wazi kazi iliyopo. Usitegemee kwenda polisi kushitaki jambo, rusha kwa traffic ni vitu vya kawaida sana. Sijui lakini wazo lako ni sawa mkuu kabisa mkuu.
Lazma tukamtoe mbolea..
Twende taratibu, hakuna haja ya kufuka moshi na povu jingi kama tumegombana. Mleta thread hakuweka hiyo historia tangu mwanzo, bali amekuja kuileza baadaye sana. Huo ndio ulikuwa msingi wa hoja yangu ili wachangiaji wawe na uelewa wa kile kinachoendelea huko DRC.