Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

FLASH HIDER!

Wafaransa wanafanya nini huko eastern DRC? je ni kweli wana lisaidia jeshi la DRC ( FARDC) au wanatafuta sababu ya kuivamia Rwanda?
ndani ya jeshi la MONUSCO ni kwanini wanao uwawa ni wanajeshi wa tanzania tuu (tena maafisa) mbona wanajeshi toka nchi nyingine hawauwawi?

Wanakufa wengi tu hata wanajeshi wa south afrika wanakufa lakini zuma anaogopa kutangaza kwani hataki hasira nchini mwake baada ya kufa askari huko central afrika,kingine hawatoi number zote za walio kufa wanajaribu ku sample watu wa vyeo vya juu,sorry kwa kuingilia swali lisilo langu labda HIDER ana habari zaidi .
 
Someni sehemu ya taarifa:

Infiltration of demobilized Rwandan soldiers

40. In 2013, M23 has enlisted demobilized Rwandan soldiers in its ranks. FN17 Three former RDF officers, ten former M23 soldiers, and five former M23 officers reported that M23 agents recruit demobilized soldiers in Rwanda. Since February, the Group interviewed three demobilized Rwandan soldiers who reported that RDF officers sympathetic to M23 had recruited them. According to three former RDF officers, an M23 collaborator, and a M23 current member, RDF officers sympathetic to M23 have facilitated M23’s recruitment inside Rwanda by asking senior demobilized officers at the district level to work with local chiefs to enlist demobilized RDF soldiers for M23. Former RDF officers, an M23 cadre, and a former M23 officer told the Group that M23 recruited both former RDF and former FDLR soldiers in Musanze and Rubavu.

41. Since March 2013, former M23 officers reported to the Group that demobilized soldiers joined M23 in discreet groups of 5 to 30 individuals which were also sighted by local leaders from the Chanzu and Kabuhanga areas. Once in M23-held territory, these recruits received military fatigues, ranks, and weapons at the M23 headquarters at Chanzu, and at Rumangabo. FN18 They subsequently received a briefing at Chanzu and were mixed into different brigades. Former and current M23 cadres told the Group that demobilized soldiers usually performed specialized functions such as the operation of heavy weapons.

42. Demobilized Rwandan soldiers have been killed on M23 frontlines in the DRC. The Group obtained the identities and addresses of seven families residing in the northern Rwandan villages of Bigogwe and Mukamira, whose sons fought in the ranks of M23 as demobilized soldiers and died during the fighting between Makenga and Ntaganda.

43. Since the beginning of its current mandate, the Group has interviewed one active RDF soldier who was arrested in the DRC at the end of 2012. However, since the fall of Goma in November 2012, the Group has not documented any instances of full RDF units support to M23. FN19

Source please.hili ni jukwaa la wasomi
 
Bwana HIDER kuhusu report of expert sijui kama uliona majibu kwa hiyo report yaliyotolewa na serikali ya rwanda kila shitaka lilipewa jibu lake ndio wakati ule nchi za nje zilisimamisha misaada,lakini baada ya kugundua kua hapakua ukweli ndani yake hivi waliachia misaada kwa rwanda,nafikiri hayo majibu pia yako kwa google sikumbuki link.

majibu ya google yanakuwa sahihi tu kama matakwa ya rwanda yatatekelezwa lakini yakisema tofauti na matakwa ya Rwanda ni uzushi ! kweli kazi ipo kuishi na watusi
 
Ndani ya Congo kuna jamaa zako Kagame na Museveni M23 jina hili hutokana na tarehe 23 Machi mwaka 2009, siku siku ambayo serikali ya Congo ilifikia makubaliano ya amani na kundi la waasi wa CNDP.

Ritz kumbe maeneo mengine unatemaga point, kama mzee komba leo vile
 
Hiyo ilikuwa report ya mwezi Juni mwaka huu ndiyo ambayo Rwanda walidai siyo kweli. Hii ya mwaka jana, waliikubali na kuahidi kubadilika. Nakuomba uisome, maana mimi hapa nilipo naisoma. Ina kila aina ya ushahidi kaka.

majibu ya google yanakuwa sahihi tu kama matakwa ya rwanda yatatekelezwa lakini yakisema tofauti na matakwa ya Rwanda ni uzushi ! kweli kazi ipo kuishi na watusi
 
wewe ni msemaji wa m 23? Maana hata maelezo yako msemaji wa m 23 hayajui. Ona aibu, sema ukweli m 23 ni millitary wing ya jeshi la rwanda. kumbuka ulishajihami sana hapa wewe siyo mtusi lakini taratibu ukashindwa kujificha na ukweli ukadhihirika, kama Rwanda siyo millitary wing ya jeshi la rwanda ni kwanini mnafurahia sana wanapoua raia wasiokuwa na hatia huko DRC huku mkiumia FLDR wanavyofanya uhalifu kama huo ndani yA Rwanda?

Sasa wewe unanichekesha nilini rwanda ulifurahia mauaji congo?mimi sio msemaji wa m23 au rwanda ni mtu binafsi natoa maoni yangu kama wengine,mimi nilichokiona ni kwamba wahutu wenye siasa kali na wafaransa wameweza kuichafua sura ya watusi dunia nzima kwa kutumia media na reports mbalimbali,na wengi wenu ndio source ya ulewa wenu,please nenda rwanda ukafanye research ndio utagundua ukweli,haya yakusema rafiki yangu aliniambia,eti report ya expert ni uongo mtupu,mimi siko kujipendekeza kwa mtu bali nikuusema ukweli.
 
Wanakufa wengi tu hata wanajeshi wa south afrika wanakufa lakini zuma anaogopa kutangaza kwani hataki hasira nchini mwake baada ya kufa askari huko central afrika,kingine hawatoi number zote za walio kufa wanajaribu ku sample watu wa vyeo vya juu,sorry kwa kuingilia swali lisilo langu labda HIDER ana habari zaidi .

umejibu kiushabiki zaidi haupo sahihi
 
Magazeti yote ya leo hapa DRC yameonesha picha za baadi ya vitambulisho na uniform za Rwanda zilizoachwa katika na M23. Unajua ukija hapa GOMA halafu ukabisha eti Rwanda haiwasaidii M23 kila mmoja atakushangaa. Hapa mpakani Gisenyi ipo wazi kabisa. Mwezi wa nne M23 walikuwa wanapita hapa kuelekea kIBUMBA HUKU WAKIWA NA RDF.

Sasa wewe angalia report na majibu ulinganishe,kwani ukweli unatokana na facts na evidence ambazo ni za uhakika.
 
Sasa wewe unanichekesha nilini rwanda ulifurahia mauaji congo?mimi sio msemaji wa m23 au rwanda ni mtu binafsi natoa maoni yangu kama wengine,mimi nilichokiona ni kwamba wahutu wenye siasa kali na wafaransa wameweza kuichafua sura ya watusi dunia nzima kwa kutumia media na reports mbalimbali,na wengi wenu ndio source ya ulewa wenu,please nenda rwanda ukafanye research ndio utagundua ukweli,haya yakusema rafiki yangu aliniambia,eti report ya expert ni uongo mtupu,mimi siko kujipendekeza kwa mtu bali nikuusema ukweli.

mbona unajihami sana, kwa taarifa yako tu mimi siyo mgeni ndani ya Rwanda ! nimeenda Rwanda mara nyingi na nimeongea na watu wa aina mbalimbali kuanzia wakulima, wasomi mpaka wanasiasa!
 
Magazeti yote ya leo hapa DRC yameonesha picha za baadi ya vitambulisho na uniform za Rwanda zilizoachwa katika na M23. Unajua ukija hapa GOMA halafu ukabisha eti Rwanda haiwasaidii M23 kila mmoja atakushangaa. Hapa mpakani Gisenyi ipo wazi kabisa. Mwezi wa nne M23 walikuwa wanapita hapa kuelekea kIBUMBA HUKU WAKIWA NA RDF.

ukimwamsha aliyelala utalala wewe, huyu jamaa anafikiri tunazungumzia DAR kwa kuambiwa au kugoogle .Usaidizi wa Rwanda kwa M 23 hata raia wa kawaida wa Rwanda wanaukiri kwani vjana wao ni askari wa jeshi la Taifa na wanajiita m23 wanapokuwa ndani ya DRC
 
hiyo ilikuwa report ya mwezi juni mwaka huu ndiyo ambayo rwanda walidai siyo kweli. Hii ya mwaka jana, waliikubali na kuahidi kubadilika. Nakuomba uisome, maana mimi hapa nilipo naisoma. Ina kila aina ya ushahidi kaka.

asante
 
Natambua wazi kuwa hili ni jukwaa la wasomi ndiyo maana nilieleza source tokea awali. Kwa wale ambao hamkuiona basi ingia hapa www.innercitypress.com/drcsanc0613repicp.html‎
;7692089]Source please.hili ni jukwaa la wasomi[/QUOTE]
 
Mkuu MUKAMASIMBA nimefuatilia majadiliano yenu hapa.Kuna kitu nikuulize,unaonekana unasapoti Kagame kuwapiga FDLR kivita.Labda unafikiri wakishapigwa na Kagame,ni matokeo gani ambayo ninyi watusi mnayataka yawakute FDLR?(katika jibu lako zingatia uhutu wa FDLR,sapoti waliyonayo toka kwa wahutu wengi ndani na nje ya Rwanda na uhusiano wa watutsi na wahutu kama raia wa nchi moja milele na milele.).Yaani desired outcomes zako ni zipi katika vita hiyo unayotaka ipiganwe na Kagame na FDLR?Unataka kipi kiwakute FDLR na wahutu kwa ujumla?
 
Last edited by a moderator:
Sijawahi kuwaona wafaransa hapa GOMA. Pia kwa nini Wa TZ tu ndiyo wanakufa sina majibu probable ni kwakuwa wao ni lead army na wapo wengi.

FLASH HIDER!

Wafaransa wanafanya nini huko eastern DRC? je ni kweli wana lisaidia jeshi la DRC ( FARDC) au wanatafuta sababu ya kuivamia Rwanda?
ndani ya jeshi la MONUSCO ni kwanini wanao uwawa ni wanajeshi wa tanzania tuu (tena maafisa) mbona wanajeshi toka nchi nyingine hawauwawi?
 
Jamii nyingine kuangamizwa kwao siyo issue kabisa, genocide ni pale jamii nyingine zinapodai haki kwa watusi tu!
 
Sijawahi kuwaona wafaransa hapa GOMA. Pia kwa nini Wa TZ tu ndiyo wanakufa sina majibu probable ni kwakuwa wao ni lead army na wapo wengi.

TZ ndiyo inayoongoza kikosi cha ARDHINI hivyo kupigana moja kwa moja na m23 tofauti na SA/MALAWI KIKOSI CHA ANGA NA MIZINGA
 
sijawahi kuwaona wafaransa hapa goma. Pia kwa nini wa tz tu ndiyo wanakufa sina majibu probable ni kwakuwa wao ni lead army na wapo wengi.

watusi watasema chochote ilimradi tu wapate huruma ya jumuiya ya kimataifa
 
Back
Top Bottom