Ushauri mzuri pia uzi mzuriSure, the best way to start is to start.
I suggest you get a basic certificate in Computer Science/IT from then you can by yourself start learning programming.
hasta la vista geekie!!
MUST ni chuo kizuriKati ya MUST, ATC, IAA na TEKU wapi naweza kusoma vizuri CS na kufanikisha malengo yangu nikiwa na maana wana miundombinu mizuri na mazingira bora ya kujifunzia
How possible!!?Hayo ni mambo ya miaka ya tisini, miaka hii hata mtu wa la saba kama anajua ngeli anaweza kuwa developer.