DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Karibuni muulize maswali namna gani kwa kijana was umri wa Kuanzia 18s anaweza kuishi mtaani bila kumtegemea mtu na kuweza kulipa bills zake , Kama Kodi ya nyumba au chumba , umeme maji na nk na kuweza kuchoma nyama weekend .
Karibuni ...binafsi Nina 24 yrs ila nimeingia mtaani huu mwaka 7 hivyo nipo na uzoefu wa kutosha karibuni Sana hustler .
Karibuni ...binafsi Nina 24 yrs ila nimeingia mtaani huu mwaka 7 hivyo nipo na uzoefu wa kutosha karibuni Sana hustler .