Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Wazee wa wanyapori niambieni kwanini Simba kwenye macho yake ana iris iliyokaa kama upanga hivi?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu naona hakunaHili swali linafurahisha sana[emoji23],huyo mnyama inaonekan kaletwa duniani kujisaidia,ngoja tusubiri majibu
Sijui kwanini wanalirukaMajibu naona hakuna
Tapetum Lucidum..(Mwenyewe nimeGoogle)Ile inaitwa tapetum ridicum humsaidia kuona usiku zaidi ya mara 6 kulingalinisha na binadam.
Poa, habari?
safi huu uzi nilikua sijauona hakika nimeenjoy.....i hope umeupenda pia[emoji817]Poa, habari?
Saana Ni uzi mzuri hakika nimeupendasafi huu uzi nilikua sijauona hakika nimeenjoy.....i hope umeupenda pia[emoji817]
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Tyger ni Simba milia, na cheetah ni Duma.Tyger and Cheetah kwa kiswahili wanaitwaje ?
Kuna clip you tube ..Tyger na Lion wanafuana Hadi inafika kipindi Wana angaliana tu Yani hiyo clip ukicheki walichakazana balaa na hakuna mshindi.Punguza masihara Kijana japo hili ni jukwaa la chitchat
Simba hana ubavu wa kumpiga tiger labda kama unazungumzia makinda ya tiger