mshumbusi
JF-Expert Member
- Oct 24, 2011
- 457
- 232
mod
please naoma usiitoe hii watu wajifunze na wakijua watajilinda na mambo ya mtandao na technology
wana jukwaa niliandika hii topic mods aliamua kuitoa nafikili hakujua kuwa unapo fahamu utajilinda na utajichunga .
nataka watu wajifunze hacking na cracking na wajue mising ya hacking .
hacking sio kitu kibaya kwani unapo fanya hivyo unaweza toa taadhari kwa campuni ,taasisi juu ya wikness ya system zao mf ...system za pesa hapa kwetu tanznia zipo weak hivyo watu wakijifunza wakajua watatoa ushauli juuya hao wanao watumiaji
angalizo
hacking and cracking are criminal please hack ethical
niulize swalilolote kuusu
(1) kuingilia mawasiliano ya simu na message
(2) kuingia kwenye server kama admin
(3) kuhack password yoyote dunian eg facebook,gmail,hotmail,jamiiforum etc
(4) kutumia software kama cain and abel,keylogger, na nyingne nyingi
(5) kuingilia (vpn) yoyote dunia
(6)kuingilia WI-FI yoyote na kupata network ya bureee
narudia tena hii ni kwa elimu tu sitahusika kwa uharifu wowote ule mtu akiufanya karbuni niulize maswal
please naoma usiitoe hii watu wajifunze na wakijua watajilinda na mambo ya mtandao na technology
wana jukwaa niliandika hii topic mods aliamua kuitoa nafikili hakujua kuwa unapo fahamu utajilinda na utajichunga .
nataka watu wajifunze hacking na cracking na wajue mising ya hacking .
hacking sio kitu kibaya kwani unapo fanya hivyo unaweza toa taadhari kwa campuni ,taasisi juu ya wikness ya system zao mf ...system za pesa hapa kwetu tanznia zipo weak hivyo watu wakijifunza wakajua watatoa ushauli juuya hao wanao watumiaji
angalizo
hacking and cracking are criminal please hack ethical
niulize swalilolote kuusu
(1) kuingilia mawasiliano ya simu na message
(2) kuingia kwenye server kama admin
(3) kuhack password yoyote dunian eg facebook,gmail,hotmail,jamiiforum etc
(4) kutumia software kama cain and abel,keylogger, na nyingne nyingi
(5) kuingilia (vpn) yoyote dunia
(6)kuingilia WI-FI yoyote na kupata network ya bureee
narudia tena hii ni kwa elimu tu sitahusika kwa uharifu wowote ule mtu akiufanya karbuni niulize maswal