Kuna tetesi kwamba VIDEO hii ya makamu wa rais wa Marekani Mike Pence akizungumuzia kuhusu imani yake ndio iliyogusa wamarekani wengi na kumsaidia Trump katika ushindi wake na hivyo kuchaguliwa kuwa Rais wa 45 wa Marekani.
Je Viongozi wetu wanaweza kujifunza jambo katika hili?
Maana wengi hawajitabulishi rasmi ni WAPI hasa imani zao zimesimamia WAKIOGOPA kukosa KURA hivyo.Wanazunguka kila DINI!
Je Viongozi wetu wanaweza kujifunza jambo katika hili?
Maana wengi hawajitabulishi rasmi ni WAPI hasa imani zao zimesimamia WAKIOGOPA kukosa KURA hivyo.Wanazunguka kila DINI!