Ultrasound inasaidia kujua kama mimba ya msichana wako ni yako?

Ultrasound inasaidia kujua kama mimba ya msichana wako ni yako?

Financial Freedom

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2016
Posts
1,246
Reaction score
2,299
Wana MMU habari zenu,

Wakuu wenye experience na hii kitu ya ultrasound na utambuzi wa mimba kuwa ni mhusika sahihi wanisaidie kwa majibu.
 
Only DNA ndo inauwezo wa kutambua "vinasaba" basii
 
Ultrasound haifanyi hiyo biashara mkuu. Cha kufanya we pima dna na hii ina process ndefu ikiwa na kesi serious nyuma yake... Wanaume tz sheria inatukandamiza sana wanawake wanatumia fursa hiyo kubambika mimba isiyo yako.
 
Inawezekana ila kama utaweza kukumbuka muda ambao ulikutana na mwenza wako.. Yaani sio mara ya mwisho kukutana nae, ila mara zote mlizokutana uwe una kumbuka tarehe...

Ukiwa na hizo kumbukumbu unaweza kujua kama ujauzito ni wako au la!

Ultrasound inaweza kuzalisha picha ya kiumbe kilichopo katika mfuko wa uzazi na daktari anaweza kukuambia kina mda gani, yaani kama ni miezi miwili au mitatu na kadhalika!!!

Sasa kama wewe ukiona mahesabu ya daktari na yako hayaendani basi hapo jua tayari kuna walakini na huo ujauzito..
 
Inadetermine Mlalo wa mtoto,(longitudinal au transverse), idadi ya watoto ,na maendeleo ya mtoto kwa ujumla ... ila sio Baba wa mtoto
 
Inawezekana ila kama utaweza kukumbuka muda ambao ulikutana na mwenza wako.. Yaani sio mara ya mwisho kukutana nae, ila mara zote mlizokutana uwe una kumbuka tarehe...

Ukiwa na hizo kumbukumbu unaweza kujua kama ujauzito ni wako au la!

Ultrasound inaweza kuzalisha picha ya kiumbe kilichopo katika mfuko wa uzazi na daktari anaweza kukuambia kina mda gani, yaani kama ni miezi miwili au mitatu na kadhalika!!!

Sasa kama wewe ukiona mahesabu ya daktari na yako hayaendani basi hapo jua tayari kuna walakini na huo ujauzito..
Sure!! Hapo kuna ka moshi hiv ka majibu
 
Ultrasound haifanyi hiyo biashara mkuu. Cha kufanya we pima dna na hii ina process ndefu ikiwa na kesi serious nyuma yake... Wanaume tz sheria inatukandamiza sana wanawake wanatumia fursa hiyo kubambika mimba isiyo yako.
Kweli..kwa Tz ni process ndefu mpaka DNA
 
Kuna maujanja yanafanyika mpaka inatoa majibu ya miezi na siku husika za ujauzito

Ndio mkuu... kinachofanyika mama anapokuja clinic kama hakumbuki siku ya kwanza kuona ya siku zake za mwisho ... (LAST MENSTUAL PERIOD) mama hutumwa Kufanya Obstetric Ultra Sound ili kujua mama atajifungua lini (ESTMATED DUE DATE) maana zile siku kama anakumbuka zilianza lini zinasaidia kujua Lini mama atajifungua ...hapo inakuwa exactly 40weeks ..japo mtoto anakuwa term akishafikisha 37 weeks ..kwa mahesabu ... mfano kama LMP ni 12/1/2018.... tunachukua tarehe tunajumlisha na saba maana ake .. 12+7 na mwezi huo tunatoa miezi mitatu .... inakuja September ...
Maana ake mama huyu atajifungua 19/9/2018
 
Back
Top Bottom