Financial Freedom
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 1,246
- 2,299
- Thread starter
-
- #21
Kweeeli hapo umenena...Ndio mkuu... kinachofanyika mama anapokuja clinic kama hakumbuki siku ya kwanza kuona ya siku zake za mwisho ... (LAST MENSTUAL PERIOD) mama hutumwa Kufanya Obstetric Ultra Sound ili kujua mama atajifungua lini (ESTMATED DUE DATE) maana zile siku kama anakumbuka zilianza lini zinasaidia kujua Lini mama atajifungua ...hapo inakuwa exactly 40weeks ..japo mtoto anakuwa term akishafikisha 37 weeks ..kwa mahesabu ... mfano kama LMP ni 12/1/2018.... tunachukua tarehe tunajumlisha na saba maana ake .. 12+7 na mwezi huo tunatoa miezi mitatu .... inakuja September ...
Maana ake mama huyu atajifungua 19/9/2018
Hakuna ultrasound inayoweza kujua mimba ni ya nani humu ulimwenguni go for a dnaNajua ila kwa watu wa experience na ultrasound imekuwa multipurpose nowadayz..
Huu ni upotoshaji. Yenyewe inatoa majibu ya umri kulingana na ukuaji wa mtoto na wingi wa maji tumboniInawezekana ila kama utaweza kukumbuka muda ambao ulikutana na mwenza wako.. Yaani sio mara ya mwisho kukutana nae, ila mara zote mlizokutana uwe una kumbuka tarehe...
Ukiwa na hizo kumbukumbu unaweza kujua kama ujauzito ni wako au la!
Ultrasound inaweza kuzalisha picha ya kiumbe kilichopo katika mfuko wa uzazi na daktari anaweza kukuambia kina mda gani, yaani kama ni miezi miwili au mitatu na kadhalika!!!
Sasa kama wewe ukiona mahesabu ya daktari na yako hayaendani basi hapo jua tayari kuna walakini na huo ujauzito..