Umaarufu kaaazi kweli kweli...muone Diamond anachofanywa

Umaarufu kaaazi kweli kweli...muone Diamond anachofanywa

MeinKempf

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
11,093
Reaction score
7,229
Ama kweli msaka cha uvunguni ni sharti ainame, kama umaarufu ndio una tafutwa hivi , basi kuna mengi sana chini ya kapeti. Mtizame chibu anachofanywa hapa.....

Capture.JPG
 
Watu wapo kazini afu hapo cha ajabu nini mbona hiyo makeup kwa ajili ya shouting...!!
 
Hili jukwaa limekuwa tu-much accomodative
 
Acha ushamba wewe hapo alikua anajianda na interview Chanel O.
 
Ama kweli msaka cha uvunguni ni sharti ainame, kama umaarufu ndio una tafutwa hivi , basi kuna mengi sana chini ya kapeti. Mtizame chibu anachofanywa hapa.....

Capture.JPG

Hapo in channel O akifanyiwa make-up kama maandalizi ya interview live. In jambo la kawaida sana kwa wote wanatangaza live ktk TV no lazima USO wako usafishwe ili uonekane mwaaaaaaaa.
 

Attachments

  • 1434807317234.jpg
    1434807317234.jpg
    44.7 KB · Views: 1,610
Kumbe ndio maana wema alikuwa analalamika wanja zake zinaisha haraka kumbe walikuwa wanatumia wawili

Umefurahi mwenyewe kwa kutunga...mmmhhhh leta lingine

Haya na Miss Jamaica anabugi nyimbo ya Diamond kacheki
 
Hapo in channel O akifanyiwa make-up kama maandalizi ya interview live. In jambo la kawaida sana kwa wote wanatangaza live ktk TV no lazima USO wako usafishwe ili uonekane mwaaaaaaaa.

Haijalishi...lakini daaaa.....kwakweli ina sikitisha sana tena sana....kumbukeni kuna siku atakuja kutaka kugombea hata ubunge tu sijui siku hiyo atapotangaza nia itakuwaje...
 
Sioni kasoro hapo,video Kali zinazotengenezwa unataka sura ionekane kama zombi?

kwahiyo unataka kusema kuwa jamaa bila kupigwa huu nusu kaputi anakuwa kama zombie..? acha masihara ya ngumi mkuu.
 
Back
Top Bottom