Una uhakika gani kama hatafuti hela??Tafuta pesa hao mwenzak kuchwa wanatengeneza psa
Wamefungiwa mlango hawawezi kutorokaMnafnaya nn humu celebrate forum si mgekua kwenye forum za watafuta pesa?? Acha uzuzu
Mkuu na wewe ubadilike sasa uache kupanda daladala.B12 amekuwa kwenye industry kwa muda Sasa, naamini sio chini ya miaka 20, kutegemea umaarufu wake ubaki vile vile ni kujitekenya mwenyewe na kucheka.
Hata hao original comedy night hivyo hivyo pia.
Ni muhimu kuelewa nyakati zinabadilika Ndugu. Binafsi sikumbuki hata radio nimesikiliza mara ya mwisho lini. Sana Sana nasikiliza redio kwenye daladala.
Gari binafsi Sina, uwezo wa taxi Sina, baiskeli Wala pikipik sina , Sasa nisipopanda daladala nipande punda!?Mkuu na wewe ubadilike sasa uache kupanda daladala.
Ofcoz lil ommy anawaumiza kichwa sana media za bongo kaishika nchi vipindi vya mchana number ndio zinazungumza hivyo