Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
MTU mwenye akaunti inasoma milioni kumi ni maskini
Njoo piaza navona Rome italy
hata sijui mimi na wew tunapishania wapi nashukur kwa salamNa mimi nakuamkua
Shunie kwenye ubora wakeInbox yangu inahusiana na nn na umaarufu wako
Siku hizi umekua mchache sana humu, ukionekana kwa nadra mno, na hiyo sio tabia nzuri ujuehata sijui mimi na wew tunapishania wapi nashukur kwa salam
mchaka mchaka wa magufuli mpenz ulizani napenda kupotea humuSiku hizi umekua mchache sana humu, ukionekana kwa nadra mno, na hiyo sio tabia nzuri ujue
Wewe si ndo ulikuwa unajiita ulimakavu nakunbuka kazi yako humu ilikuwa kukaribisha wageni tuu naona siku hizi umebadilika hongera mkuuMwana jf Mimi unanitambuaje humu jf tiririka kuwa huru
Jf members
Punguza mchakamchaka hata kwa kulazimisha maisha ndio hayahaya raha unaifosi vinginevyo utakua unakimbiza mambo siku zote na hayeshimchaka mchaka wa magufuli mpenz ulizani napenda kupotea humu
Anataka akaribishwe yeye sasa hiviWewe si ndo ulikuwa unajiita ulimakavu nakunbuka kazi yako humu ilikuwa kukaribisha wageni tuu naona siku hizi umebadilika hongera mkuu
Anatafuta umaarufuAnataka akaribishwe yeye sasa hivi
nimekusikia kaka nitaupunguza usijali tusipishane majukwaa basiPunguza mchakamchaka hata kwa kulazimisha maisha ndio hayahaya raha unaifosi vinginevyo utakua unakimbiza mambo siku zote na hayeshi
Ni ya wasomidaaah kweli hii awamu ya tano
Shaka ondoa ukhuty, maana mpaka nikawa nadhani umeamua kubaki Kenyaππnimekusikia kaka nitaupunguza usijali tusipishane majukwaa basi
haha yaan siku jf ilokuwa huru nikaondoka kabisa hat hivyo sikuwa na upenzi nako kabisa kuleShaka ondoa ukhuty, maana mpaka nikawa nadhani umeamua kubaki Kenyaππ
Hahahaa, nyumbani ni nyumbani tu bana hua pananoga hivyohivyo pamoja na mapungufu yake hata kama ugenini kuna uhuru zaidihaha yaan siku jf ilokuwa huru nikaondoka kabisa hat hivyo sikuwa na upenzi nako kabisa kule
huwezi amin mie sijawah kukupenda kabisa yaan sijui kwa nin yaan ilikuwa naona vinyumenyume tuHahahaa, nyumbani ni nyumbani tu bana hua pananoga hivyohivyo pamoja na mapungufu yake hata kama ugenini kuna uhuru zaidi
Palikua ni ukimbizini haswaa na unahisi babisa ni makazi ya muda, wengi pia hawakuwahi hata kwenda ingawa kuna wachache bado wapo kulehuwezi amin mie sijawah kukupenda kabisa yaan sijui kwa nin yaan ilikuwa naona vinyumenyume tu
tunamshukur Mungu tumerejea kwetu salamaPalikua ni ukimbizini haswaa na unahisi babisa ni makazi ya muda, wengi pia hawakuwahi hata kwenda ingawa kuna wachache bado wapo kule