Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
MTU mwenye akaunti inasoma milioni kumi ni maskini
Njoo piaza navona Rome italy
Yani kwa akili yako ndogo unaamini ukiwa na 10mil wewe ni tajiri?
Kwanza kurundika pesa benki inaashiria umaskinj wako upo mpaka kwenye akili, hamna tajiri anakaa na pesa idle kwenye account!!