Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Wabongo mnasifiaga vitu vya kipumbavu sana. Mbona kuna vibaka kibao tu hapo Mbagala wanaweza kurukia difenda kwa style hiyo? Ni kawaida sana tuuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule kweli ni mjeda, japo kifupi vile, ila kilirukia defender kimasta mnoo, hadi niliduwaaa, baadae nilicheka hataree.
Nyundo ana balaa lake mjinii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna haja. Automatically kijeshi wako 'AWOL' ( Absent Without Leave). Hivyo hata wakishinda hiyo kesi yao, kama atathubutu kuja kikosini hasa huyo Private (MT) atatupwa 'lupango' siku mbili tatu kisha kufikishwa Court marshal na judgement itakuwa kufukuzwa jeshi.hawa ni wanajeshi kwanini hawakupelekwa kwenye mahakama ya kijeshi?
Ni mjeda yuko makao DodomaYule kweli ni mjeda, japo kifupi vile, ila kilirukia defender kimasta mnoo, hadi niliduwaaa, baadae nilicheka hataree.
Nyundo ana balaa lake mjinii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanafanya mzaha kwa kuaMwamba, hii kesi inaonekana Police wanafanya mzaha wale ndugu na jamaa zao, hali ya kujiamini hao watu imezidi sana
Kuna mastaa wawili nawajua washaliwa mtungo enzi hizo afu leo wapooo wanadunda na ni wake za watuSasa naamini Maneno ya kaka Ruge.
Wa Kwanza kumuogopa Mungu.Kisha Technology...
Hii michezo ya kupiga madem mtungo zamani ilikuwa kawaida sanaaa....
Nikikumbuka Sec mbali nlizo wahi soma nlishuhudia Sana madem wakiliwa mtungo...lakini kutokana na ufinyu wa Technology maisha yalikuwa Safi sanaaaaa...
Lakini sasa jichanganye upotee mtaani.
Kama unamjua mtajeKuna mastaa wawili nawajua washaliwa mtungo enzi hizo afu leo wapooo wanadunda na ni wake za watu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huwexi kushindana na ulipotokaYote ya yote bado wakiwa wanne walishindwa kumnyoosha yule binti 🙌 kwel pale ndo mwisho wa kujifanya kidume 😂
He is not disable he is facing physical challenges.Ufupi ni kama ulemavu
ila hapa mtu mfupi ameonesha disability is not innability
Hao tuko nao mpaka mwisho.Ujinga wa Watanzania ni wepesi sana kumfanya hata muhaini kuwa star.
Taratibu hawa jamaa wanaanza kusahaulika kuwa ni wabakaji na walawiti kwa kuanza kunotice vituko vyao visivyo na tija.
Tekinolojia unaisingizia hapo.Sasa naamini Maneno ya kaka Ruge.
Wa Kwanza kumuogopa Mungu.Kisha Technology...
Hii michezo ya kupiga madem mtungo zamani ilikuwa kawaida sanaaa....
Nikikumbuka Sec mbali nlizo wahi soma nlishuhudia Sana madem wakiliwa mtungo...lakini kutokana na ufinyu wa Technology maisha yalikuwa Safi sanaaaaa...
Lakini sasa jichanganye upotee mtaani.