Umakini unatushushia heshima

Ishemo

Senior Member
Joined
Mar 6, 2015
Posts
194
Reaction score
127
Nilikuwa naangalia kwenye simu yangu nipate update ya Game ya Simba vs Yanga
Mara naona imeandikwa itachezwa @10:30 AM...imenisikitisha sana! It is a human error but it can also be a negligence

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Flashscore wanaonesha game itaanza saa 11. Mpaka sasa hawana updates.
 
Umetupia kingereza hapo lakini ajabu hujui kusoma saa. Wakati wewe ndio umekosa umakini. Hiyo row ya kwanza na mwisho ni mechi played na live. Hitu vidogo tu vinakutoa kamasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…