Umakini wa kuishi na dada wa kazi majumbani kwetu

Nimesoma na nimetoka patupu, sijaelewa kitu.
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€unakaza ubongo tatizooo...!! ile mbona inaelewekaa
Wajina hii ni sawa na kusoma ufahamu au stori paragraph nzima afu unaenda kwenye maswali bado uelewi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
right principle ni ndogo sana!

ukiishi na msaidizi wa kazi nyumbani vizuri ukamfanya kama familia yako, kwa kiasi kikubwa ataishi vizuri na wewe na familia yako.
 
Wadada wa kazi wenye sura ya baba kama huyu huwa watamu sana, usijaribu kuonja.
Hilo jicho umevutia nalo ehh!?! Hawa ovaries zipo mlangoni kabsa! Ukigusa tu! Imo
 
right principle ni ndogo sana!

ukiishi na msaidizi wa kazi nyumbani vizuri ukamfanya kama familia yako, kwa kiasi kikubwa ataishi vizuri na wewe na familia yako.
Kabsa Mkuu! Ila ukimfanya aonekane dhaifu πŸ˜ƒ mtapikiwa sana Mijusi Kafiri πŸ˜”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…