Umakini wa kuishi na dada wa kazi majumbani kwetu

Umakini wa kuishi na dada wa kazi majumbani kwetu

kwanza hawakai muda mrefu
hata ukiwa unamuacha mwenyewe nyumbani na kazi za kawaida kabisa
still atakuletea za kuleta
Mkuu wengine shida huanzia kwa wazazi wao. Unakuta mzazi wake ana tamaa sana na hela anataka mshahara wa binti wote umpe yeye na bado kila wakati anapiga simu kuelezea matatizo ya huko kwao. Na wengine mtoto wao akienda tu likizo kusalimia wakamuona amekua kiasi na amependeza tayari wanaanza kufikiria kumuozesha
 
hivi unawekaje dada wa kazi za ndani mwenye umri wa miaka 13 hivi serikali haioni ni utumikishwaji wa watoto?
alafu majumbani mwetu tunawanyanyasa vipigo kuwatenga nao ni binadamu wanafika sehemu wanachoka japo sisemi waue ila wanapitia magumu mengi sana....


ukichunguza kwenye hiyo familia lazima kutakua kuna manyanyaso yaliendelea mtu mwenye akili timamu hawezi tumikisha mtoto wa miaka 13 hapo tu ni ukatili sasa najiuliza humo ndani anakatiliwa na kunyanyaswa kwa mangapi
Unapomchukua mtoto wa miaka 13 lazima kuwe na mtu mzima mwingine nyumbani mwenye kufanya majukumu wakati huyu binti mkimlea akue kufikia umri anaoweza kufanya majukumu ya nyumbani.
Huwezi kumchukua binti mwenye miaka 13 na asubuh mama na baba wote wanaondoka na kumtegemea huyo binti ndo afanye majukumu ya nyumbani huo ni ukatili kama ukatili mwingine tu na wote wawili baba na mama akili zenu zitakuwa zina shida kaisi haiwezekani mtoto wa miaka 13 mkamuacha akalea watoto wenu nyumbani, kuwapikia na kuwafulia.
 
Mkuu wengine shida huanzia kwa wazazi wao. Unakuta mzazi wake ana tamaa sana na hela anataka mshahara wa binti wote umpe yeye na bado kila wakati anapiga simu kuelezea matatizo ya huko kwao. Na wengine mtoto wao akienda tu likizo kusalimia wakamuona amekua kiasi na amependeza tayari wanaanza kufikiria kumuozesha
Ni kweli Mkuu! na wengine wanaweza hata kumpiga juju
 
Unapomchukua mtoto wa miaka 13 lazima kuwe na mtu mzima mwingine nyumbani mwenye kufanya majukumu wakati huyu binti mkimlea akue kufikia umri anaoweza kufanya majukumu ya nyumbani.
Huwezi kumchukua binti mwenye miaka 13 na asubuh mama na baba wote wanaondoka na kumtegemea huyo binti ndo afanye majukumu ya nyumbani huo ni ukatili kama ukatili mwingine tu na wote wawili baba na mama akili zenu zitakuwa zina shida kaisi haiwezekani mtoto wa miaka 13 mkamuacha akalea watoto wenu nyumbani, kuwapikia na kuwafulia.
Ndo uhalisia mkuu!
 
Unapomchukua mtoto wa miaka 13 lazima kuwe na mtu mzima mwingine nyumbani mwenye kufanya majukumu wakati huyu binti mkimlea akue kufikia umri anaoweza kufanya majukumu ya nyumbani.
Huwezi kumchukua binti mwenye miaka 13 na asubuh mama na baba wote wanaondoka na kumtegemea huyo binti ndo afanye majukumu ya nyumbani huo ni ukatili kama ukatili mwingine tu na wote wawili baba na mama akili zenu zitakuwa zina shida kaisi haiwezekani mtoto wa miaka 13 mkamuacha akalea watoto wenu nyumbani, kuwapikia na kuwafulia.
hata ww nakuona huna akili timamu yaani umchukue mtoto wa miaka 13 umkuze akufanyie kazi za nyumbani hivi unaelewa unachoandika inamaana ukae nae miaka mitano ukimkuza ili awe kwenye umri sahihi wa kujitegemea na kuweza kuajiriwa..... sasa huyo mtu mzima atakayekua anasaidia kazi si bora mumuajiri awe dada wa kazi.... kwenye swala la kumchukua umkuze hajawa kuku huyo na watu wengi hawana muda wakishapata dada wa kazi hawaangalii umri wao ni kigawa kazi tu
 
hata ww nakuona huna akili timamu yaani umchukue mtoto wa miaka 13 umkuze akufanyie kazi za nyumbani hivi unaelewa unachoandika inamaana ukae nae miaka mitano ukimkuza ili awe kwenye umri sahihi wa kujitegemea na kuweza kuajiriwa..... sasa huyo mtu mzima atakayekua anasaidia kazi si bora mumuajiri awe dada wa kazi.... kwenye swala la kumchukua umkuze hajawa kuku huyo na watu wengi hawana muda wakishapata dada wa kazi hawaangalii umri wao ni kigawa kazi tu
Mkuu kwa kitu chochote unachofanya kama huna lengo lenye mantiki huna tofauti na mwendawazimu. Kuna watoto wengine wanaishi kwenye vulnerable environment sana na wewe kumchukua kuishi nae nyumbani kwako kama binti yako utakuwa umefanya jambo jema ila kama nia yako ni kumchukua ili aje akufanyie kazi kwa umri umri huo basi na wewe huna tofauti na wapumbavu.
 
Ukitaka kujua hawa ma'house girl vichaa wanavipataje, kaa wiki moja au mbili nyumbani halafu uwe una observe namna mkeo anavyo communicate na house girl wenu.

Kuna hizi tabia zipo very common kwa wanawake.

1. Tabia ya kutuma tuma hovyo house girl bila Sababu za msingi ili mradi amuonyeshe kuwa yeye ndie mama mwenye nyumba. Atamtuma dukani akanunue vocha, akirudi atamrejesha tena kufuata chumvu, akirudi hata hajachana ile pakti ya chumvi aweke kwenye kopo la chumvi, atamwambia akamletee nguo kwenye kamba nje, akileta atamwambia hebu ninyooshe, hapo kuna chakula jikoni kinachemka, atamwambia kisiungulie, bado hajamwambia ashughulike na mtoto.

2. Kuwapa mishahara midogo chini ya Shilingi laki 2. Mtu anampa mtoto wa mwenzake mshahara wa laki na nusu ila treatments anazompa ni kama anamlipa milioni 10 kwa wiki. Na hapo unakuta huo mshahara wanapewa wazazi wa binti huko kijijini yeye wanamuachia kiduchu sana.

3. Kuwasema sema au kuwabana na privacy zao. Unakuta binti ni mdogo wa miaka 14 hadi 17 ila mama mwenye nyumba ana mtreat kama ni mtu mzima na sio mtoto ambaye anahitaji supervision na muongozo. Atamlaumu kwann haamki asubuhi, kwann chumvi imezidi, kwann nyumba chafu, kwann watoto hawajaoga kwann anatazama tv kwann hivi kwann vile. Kumbuka huyu binti ndio yupo umri wa kuvunja ungo, so ubongo wake lazima unaingiwa na ujeuri muda mwingine na anabidi kuvimba na kuwa kiburi kwa mama mwenye nyumba bila kujijua sababu hormones zimeanza kukimbiza damu.

4. Wanawake huwa wanawatazama ma'house girl kama misukule ya kukaa ndani tu kwamba hawana hisia za kimapenzi.Baba mwenye nyumba akitaka kumpa tiba ya kibaiolojia mwanamke anakuwa mtu wa kufuatilia sana. Sasa unataka mtoto wa watu afe ukwaju ukimzidia mwilini? Haya mambo muachie baba watoto akusaidie akimpelekea moto na akampa onyo la kukuheshimu mama watoto utaona namna hapo ndani patavyokuwa salama na watoto wenu hawatadhurika hata kidogo.
Laki na nusu yote hyoooo
Mshahara wa dada wa kazi ni elf 30 mpk 70 hyo 70 huyo sijui nisemeje
Hyo laki labda wale wa Joyce Kiria

Rafiki yangu alikaa na binti miaka tisaaa...yule dada wazazi walimtaka kwenda kumuozesha kilazima
Hadi likizo alikua anaenda kwao
Binti yule kwanza hujui km ni house gal
Anakoenda anae seheme zote za bataa,binti anavaa pamba kali kuliko mimi[emoji3][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3]acha tuu kuna watu wanajua kukaa na wadada jamani
 
Kama una uhitaji wa dada nyumbani ishi nae vizuri sana kama unaona huwezi kuishi nae vizuri acha upambane mwenye. Mimi nina watoto naishi nao bila mama nilimchukua binti toka kijijini akiwa na miaka 13(nyumbani kulikuwa na dada yangu ndo anawalea watoto kabla sijapata binti). Huyu binti nilimfanya kama ndo first born wangu na nilimpa option kama anataka kusoma aseme akasema yeye hawezi kusoma akachagua kujifunza mambo ya saloon. Alipofikisha miaka 15 nikampeleka kujifunza anachokipenda na mpaka sasa ana miaka 18 anaendelea na kazi zake za saloon na bado niko nae nyumbani. Watu wengi wanajua yeye ni firstborn wangu kwasababu nikiulizwa huwa nasema ni mtoto wangu nilizaa utotoni. A very nice and bright girl najivunia hata nikisafiri nakuta kila kitu kiko kama ninavyotaka and aliniambia baba nitaondoka hapa nikiolewa
UKIPATA BINTI MZURI ISHI NAE VIZURI KAMA UNAONA SI MZURI MRUDISHE KWAO USITUMIE NAFASI HIYO KUMNYNYASA
Hongera brooo
Una pepo yako
 
Sasa kama mama hana muda na mtoto wake wa kuzaa je kwanini amezaa sasa!? Yaani Dada wa kazi ni mtoto na yeye anaenda kulea mtoto!?
Kuzaa sio kulea broo
Kuzaa hata paka anazaa ,shida kulea mwanaa!!!
Wadada wanapitia mazito mnoo
Wanawake sisi wanyanyasi mnooo
 
wanawake wana upimbi nakubaliana na wewe. kuna mdada wa kazi nilimtafutia mama mzazi. namlipa mwenyewe. dada akawa anasema anaishi vizuri sana nyumbani. kuna mama yangu mdogo matako yake akaja kuhamia hapo. kaleta fitina mpaka dada wa watu akajiondokea zake. moja ya ushenzi alikua analalamika kwanini dada wa kazi J2 tumemuwekea kama siku yake ya off. ningemkula huyu mama mdogo kama adhabu bahati yake.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huo ndo ujinga mkubwa kuwahi kutokea! Kutunziwa mshahara kabsa na Mama mwenye nyumba?! Sio kweli! hapo mtu lazma apigwe na kitu kizito!
Kuna wenye nyumba wengine ni waaminifu ila wengine wanafanya hivyo kuwadhulumu haki zao, f*ck em.
 
hata ww nakuona huna akili timamu yaani umchukue mtoto wa miaka 13 umkuze akufanyie kazi za nyumbani hivi unaelewa unachoandika inamaana ukae nae miaka mitano ukimkuza ili awe kwenye umri sahihi wa kujitegemea na kuweza kuajiriwa..... sasa huyo mtu mzima atakayekua anasaidia kazi si bora mumuajiri awe dada wa kazi.... kwenye swala la kumchukua umkuze hajawa kuku huyo na watu wengi hawana muda wakishapata dada wa kazi hawaangalii umri wao ni kigawa kazi tu
Ni kweli familia nyingi zikipata mdada wa kazi Under age hawana muda wa kutazama maendeleo yake kwa ujumla! Hapo ni heri upate mtu mzima ambaye anaelewa kujisimamia kila kitu!
 
Hao ndo wanaongoza kuchuka vitoto na unyanyasi
Tena wana malezi ya hovyoo hao acha brooo
Vitoto vyao adabuless haviheshimu wakubwa kabisaa
Double Standards Mkuu! Wanachokihubiri ni tofauti na kile wanachokiishi
 
Back
Top Bottom