Umasikini ni mbaya: Mtoto wa miaka 9 achomwa moto kwa tuhuma ya kuiba karanga Shinyanga

Watu sisi sijui hua tunapatwa na vichaa gani ya rabbi!!Sasa kwani huwezi kumpa adhabu za kawaida tu,huu moto sijui watu wanauchukuliaje!!sasa ukisema uwafunge inabidi umtafutie mtoto pa kulelewa.
 
Unafikiri huyo mtoto aliiba kwenda kuuza? Alichukua ale tu kama chakula, sema umasikini ni mbaya sana yaani karanga na binadamu, karanga zina umuhimu kuliko binadamu
Wewe ndio unasema kwamba nafikiri kuwa anaenda kuuza, mie sikusema, waka sikufikiria hivyo
 
Wanastahili kunyongwa, ila wakinyongwa huyo mtoto na wadogo zake nani atawalea?
Waachiwe tu hamna namna.
Huruma sana
Unasema neno halafu unajipinga mwenyewe huku kwetu tunawaita kigeugeu sijui huko kwenu mnaitwaje
 
Karanga zinakufanya mpka ata uende gerezani so sad
 
Hasira hasara
Legendary said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…