Umasikini ni wetu na ujinga pia. Tutatokaje?

Umasikini ni wetu na ujinga pia. Tutatokaje?

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Kwanza, kijana uliyeing'ang'ania CCM kwangu mimi nakuona ndiyo mjinga wa kwanza nchini na unapaswa kuwajibika kwa kila machozi ya walalahoi wote nchini na mateso yote nchi inayoyapitia!

Unakuwa CCM? Kwani wewe ni jini usiye na huruma na watu?

Leo hii nchi inalipishwa mabilioni kwa mabilioni kwa mikataba ya kimangungo. Haikutosha, mikataba hiyo hiyo inaendelea kusainiwa na viongozi wetu, kwa mujibu wa kichwa cha habari tunaitaje hiyo?

Watanzania wengi ni masikini wa kutupwa, unamkuta Mbunge anaongoza jimbo lenye umasikini wa kiwango cha kutisha, huyohuyo anapitisha mikataba ya kuwanyonya masikini anao waongoza. Kwa mjibu wa kichwa cha habari, hiyo tunaiitaje?

Watanzania kila kukicha, kunabuniwa namna ya kutozwa na kurundikiwa tozo na kodi lakini hawaboreshewi mazingira wezeshi ili kuondokana na umasikini, hiyo nayo ni nini?

Tumekuwa na miradi ya REA ilyokuwa ikitembea kwa kasi kubwa kwa miaka ya hivi karibuni na kwa bei ya kipato halisi ya mtanzania yeyote, sasa haipo na ukiitafuta bei yake itakukatisha tamaa, kilichofanyika sasa, mwananchi ameongezewa kodi ya kulipia luku kwa maana ya kodi ya jengo, waziri, ni mahesabu yapi umetumia na ukajiridhisha kuwa hiyo ndiyo inafaa kuwatoza walala hoi?
 
Kwanza, kijana uliyeing'ang'ania ccm kwangu mimi nakuona ndiyo mjinga wa kwanza nchini na unapaswa kuwajibika kwa kila machozi ya walala hoi wote nchini na mateso yote nchi inayoyapitia!

Unakuwa ccm?? Kwani wewe ni jini usiye na huruma na watu?

Leo hii nchi inalipishwa mabilioni kwa mabilioni kwa mikataba ya kimangungo, hakutosha, mikataba hiyo hiyo inaendelea kusainiwa na viongozi wetu, kwa mjibu wa kichwa cha habari tunaitaje hiyo?

Watanzania wengi ni masikini wa kutupwa, unamkuta mbunge anaongoza jimbo lenye umasikini wa kiwango cha kutisha, huyohuyo anapitisha mikataba ya kuwanyonya masikini abaowaongoza, Kwa mjibu wa kichwa cha habari, hiyo tunaiitaje?

Watanzania kila kukicha, kunabuniwa namna ya kutozwa na kurundikiwa tozo na kodi lakini hawaboreshewi mazingira wezeshi ili kuondokana na umasikini, hiyo nayo ni nini?

Tumekuwa na miradi ya Rea ilyokuwa ikitembea kwa kasi kubwa kwa miaka ya hivi karibuni na kwa bei ya kipato halisi ya mtanzania yeyote, sasa haipo na ukiitafuta bei yake itakukatisha tamaa, kilichofanyika sasa, mwananchi ameongezewa kodi ya kulipia luku kwa maana ya kodi ya jengo, waziri, ni mahesabu yepi umetumia na ukajiridhisha kuwa, hiyo ndiyo inafaa kuwatoza walala hoi?
KWA AINA YA VIONGOZI TULIONAO
KWA AINA YA CCM ILIYOPO NA KWA UJINGA ULIOWAJAA WATANZANIA HATUTOKI KAMWE
 
Aina ya viongozi ni kielelezo Cha jamii yetu ilivyo.
Viongozi wabovu ni zao la jamii mbovu.
Hatuandai viongozi
 
Acheni kumuabudu Nyerere. Kuweni watu wenye viburi na jeuri kwa wanasiasa wenu na mifumo yote halafu mwisho mfanye revolution
 
Bongo dili kila mtu anapiga dili mengine yooote baadaye !!
Sababu ya mfumo wetu wa maisha ni mbovu hautabiriki na bahati haiji Mara mbili wengi uogopa kujutia.
Ulaya mifumo Yao inaeleweka thus hawawazi Dili kuishi
 
Kwanza, kijana uliyeing'ang'ania CCM kwangu mimi nakuona ndiyo mjinga wa kwanza nchini na unapaswa kuwajibika kwa kila machozi ya walalahoi wote nchini na mateso yote nchi inayoyapitia!

Unakuwa CCM? Kwani wewe ni jini usiye na huruma na watu?

Leo hii nchi inalipishwa mabilioni kwa mabilioni kwa mikataba ya kimangungo. Haikutosha, mikataba hiyo hiyo inaendelea kusainiwa na viongozi wetu, kwa mujibu wa kichwa cha habari tunaitaje hiyo?

Watanzania wengi ni masikini wa kutupwa, unamkuta Mbunge anaongoza jimbo lenye umasikini wa kiwango cha kutisha, huyohuyo anapitisha mikataba ya kuwanyonya masikini anao waongoza. Kwa mjibu wa kichwa cha habari, hiyo tunaiitaje?

Watanzania kila kukicha, kunabuniwa namna ya kutozwa na kurundikiwa tozo na kodi lakini hawaboreshewi mazingira wezeshi ili kuondokana na umasikini, hiyo nayo ni nini?

Tumekuwa na miradi ya REA ilyokuwa ikitembea kwa kasi kubwa kwa miaka ya hivi karibuni na kwa bei ya kipato halisi ya mtanzania yeyote, sasa haipo na ukiitafuta bei yake itakukatisha tamaa, kilichofanyika sasa, mwananchi ameongezewa kodi ya kulipia luku kwa maana ya kodi ya jengo, waziri, ni mahesabu yapi umetumia na ukajiridhisha kuwa hiyo ndiyo inafaa kuwatoza walala hoi?
we bado una yote hayo mawili? wenzako wameshatoka huko wana vyote viwili. Heading yako wala haiendani na content
 
Sababu ya mfumo wetu wa maisha ni mbovu hautabiriki na bahati haiji Mara mbili wengi uogopa kujutia.
Ulaya mifumo Yao inaeleweka thus hawawazi Dili kuishi
Hiyo ndio shida yetu kuu! Mkuu bongo dili 🙏🙏
 
Mkuu bila kuiondoa CCM madarakani shetani atatuandama milele!
matatizo yetu yote yanatokana na ccm sio kinginecho!
 
Back
Top Bottom