Acha watu wawe huru mwenye speed ya kuzalisha azalishe kadri atakavochoka na apendae kulala alale atakavopenda.Mwingine nyumba moja inamtosha mwingine mmoja haimtoshi so usimbane mwenye uchu ya zaidi kwa expenses za aliyetosheka.Hulka ya tajiri ni kutokutosheka kwa kuwa na kiu ya kuendelea kutaka zaidi yaani kufungua miradi zaidi kumbuka hii miradi atoajiri wajomba zake ataajili masikini hivo masikini watapata kipato,pia tajiri atakatwa kodi zitakazotumika kutoa huduma muhimu kwa masikini. Ujamaa ni nadharia iliyojikita zaidi kwenye kuwatawala watu kwa kuwafanya wawe masikini ili iwe rahisi kuwatawala maana huwezi mtawala aliyeshiba.Uchumi inatakiwa uwe huru.Ujamaa ni mfumo wa kishetani, mfumo sahihi hata Mungu aliouagiza ni ubepari thus kasema asiyefanya Kazi asile,apendae usingizi atavuna umasikini, apandae kwa nguvu atavuna,mwenye nacho ataongezewa,nk.Hata ukilinganisha masikini ni wengi kwenye ujamaa kuliko kwenye ubepari.Viongozi wote wa kijamaa hawakuishi kijamaa waliishi kibepari
Daaah! weee! mkuu, imenifurahisha sana naona wataka jua kitu wewe;
Sikia bwana kuba Uhuru bila nidhamu ni wendawazimu, hiari yashinda utumwa. na ujamaa haumnyimi mtu fursa zipo mnashindwa kuuelewa sababu ufahamu uko ki Magharibi zaidi,
Propaganda za magharibi zimesimama kwenye uongo, ni ma -x part wa propaganda wale thubutu; hakuna tajiri anayetaka maskini atoke, zaidi ya wao matajiri. sana watampa mahitaji muhimu mazuri tu kama afya na nyumba nzuri za kuishi ili watu wengine kama wewe wautamani Ubepari.
wanatawala kwa kutumia njia kuu tatu;
1) Synthesis.
2) Antisynthesis.
3) Solutions.
Hii ina maana wanaitisha jamii tawaliwa, then wanapinga vitisho hivyo kwa nguvu zote, na watu wameajiliwa kufanya kazi hiyo kwa hela nyingi ndo unao waona leo ni matajiri, hasa hasa Medias,Km TV, Magazeti etc
Baadaye wana tafuta suluhisho, wanajitokeza Watoto wa Mabepari damudamu, wakitumia hizo hela za wa Africa kujifanya wanatetea jamii tawaliwa. mfano WTC ilivo shambuliwa .mchezo unaofanywa Middle East, Lockerbie bombing
Siyo hayo tu sponsors wote wa skirmish war Duniani ni Mabepari, ambao leo unaamini wana uhuru wa kufanya unachotaka. wewe una dhani AL-shabab, Boko haram,ISIS, wanapata wapi silaha, chakula, mishahara,Usafiri. Jibu ni hela za mabepari hizo ndo mungu wako alivo taka uko sahihi kabisa,ndivo alivyo watuma. Lakini siyo Mungu wetu wa ujamaa sawa?
Lengo ni kuimarisha ngome yao ya Magharibi hata ukitaka leo unakuwa tajiri tu.kupitia mgongo wao ila mwisho wako hautakuwa mzuri.si unaona Gaddafi alivo busiana na jack shirack, lakini Gaddafi yuko wapi leo;
Sera zao ziko wazi hawana rafiki wa kudumu, wao ni wao tu. ni wamoja kwisha. wako juu ya sheria mtoto wa kiume wa Thatcher Michael,alikamatwa kwa uharifu Equatorial Guinea, mbona aliachiwa tu. ma Rais wa nchi zote wanawekwa na wao, hivyo vimadini vyenu wanachimba wao,watawapa hela wanayo taka, hamtafurukuta, ebu fikiria stone kaishia kimya kimya na makanikia yake,(alikuwa hajui), maskini, na ni familia hizo za kibepari zina tawala Dunia yoote.isipokuwa nchi za kijamaa.
na huyo mungu wenu wa kibepari mashoga,sagaji,good time rukhsa, pesa iko mtapewa. uhuru wa Dume kutoa nyaa! Jamani wana JF kweli haki? dada zetu wakose mambo? nchi za kijamaa umewahi sikia haya?
Amini usiamini ni familia ishirini tu ndo unadhani ni mabepari wa Magharibi, hivo wanainua mtu mmoja mmoja sana, tena kwa kiwango fulani baaadaye anarudi chini chini kabisa. hata.... U-rais utapata. lakini?.watakuomba mambo...........wakikupenda sana. wale usijiulize maswali anza kulia na uomboleze na familia yako..