Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Mwalimu neno 'dhamani' siyo sahihi ni 'thamani' ndiyo maana tuna 'dhahabu'Hii hatua ya kupigika mpk unawaona boda boda na mama ntilie wanadhaman kuliko mimi imeshawahi kunipitia aisee, nilipigika hasa na degree yangu ya ualimu toka pale UDSM, Mungu hamtupi mja wake now ujasiriamali umeninyanyua toka nilipokuwa, now najihisi nina dhamani kuliko
Alafu Kuna kabila Fulani ndo wanapenda andika namna hiyo!uthubutu anaandika udhubutu...thamani ..dhamani...samani...thamani..kha!Mwalimu neno 'dhamani' siyo sahihi ni 'thamani' ndiyo maana tuna 'dhahabu'
Hii hatua ya kupigika mpk unawaona boda boda na mama ntilie wanadhaman kuliko mimi imeshawahi kunipitia aisee, nilipigika hasa na degree yangu ya ualimu toka pale UDSM, Mungu hamtupi mja wake now ujasiriamali umeninyanyua toka nilipokuwa, now najihisi nina dhamani kuliko
Hapo tatizo sio pesa ya kamari. Tatizo ni huyo aliyepata hiyo pesauliona wapi pesa ya kamari ikafanya la maana...
Udsm umehitimu mwaka gani ?Hii hatua ya kupigika mpk unawaona boda boda na mama ntilie wanadhaman kuliko mimi imeshawahi kunipitia aisee, nilipigika hasa na degree yangu ya ualimu toka pale UDSM, Mungu hamtupi mja wake now ujasiriamali umeninyanyua toka nilipokuwa, now najihisi nina dhamani kuliko
All in all story zake kwa mtu mwenye akili zina mafunzoHuyu jamaa kama umemkumbuka kwenye ile story yeye na rafiki yake Agustino walivyoenda kwa mganga kutafuta utajiri utagundua kuwa huyu chalii ni mwandishi tu wa story na sio yaliyowahi kumkuta yeye.
Anashindwa kuelewa pesa ni pesa tu..kinachohitajika ni nidhamuHapo tatizo sio pesa ya kamari. Tatizo ni huyo aliyepata hiyo pesa
Acheni kumpopoa mawe mwalimu wetu [emoji3][emoji3][emoji3]Mwalimu neno 'dhamani' siyo sahihi ni 'thamani' ndiyo maana tuna 'dhahabu'
Tatizo kubwa ambalo wengi wanalo ni business planAnashindwa kuelewa pesa ni pesa tu..kinachohitajika ni nidhamu
Mtu mwenye akili nzuri akipata 30m kwenye betting inabidi kwanza apumzike ainvest huu mpunga kwenye real business..
Sawa sawa mkuu! Nakuona wewe ni mpambanaji sana10 millions niliwekeza. Kuhusu fx mimi sio full time trader
2016Udsm umehitimu mwaka gani ?
Sawa.Wewe mwalimu tena toka UDSM kwa huu uandishi wako hufai hata kumfundisha chizi atakukataa.
Yaani hapawanawake,