Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Ahahahahah...
Nikiwa sina hela huwa nawataman sana wanawake na kula vizuri.Yan kila mara mnara unasoma 4g halaf njaa inauma balaa.
Ila nikizipata sasa, njaa huwa haiumi kabisaa halaf huwa nasahau kama kuna madem duniani mpaka senti ya mwisho inaposha kwenye project yangu kwa waat huo like ujenz n.k.
Sijui nina shida gani.
Nikiwa sina hela huwa nawataman sana wanawake na kula vizuri.Yan kila mara mnara unasoma 4g halaf njaa inauma balaa.
Ila nikizipata sasa, njaa huwa haiumi kabisaa halaf huwa nasahau kama kuna madem duniani mpaka senti ya mwisho inaposha kwenye project yangu kwa waat huo like ujenz n.k.
Sijui nina shida gani.