Umasikini wa mtu unaanzia kichwani pake. Kama utani nilivyopoteza mtaji wangu wote kizembe

Umasikini wa mtu unaanzia kichwani pake. Kama utani nilivyopoteza mtaji wangu wote kizembe

Ahahahahah...
Nikiwa sina hela huwa nawataman sana wanawake na kula vizuri.Yan kila mara mnara unasoma 4g halaf njaa inauma balaa.

Ila nikizipata sasa, njaa huwa haiumi kabisaa halaf huwa nasahau kama kuna madem duniani mpaka senti ya mwisho inaposha kwenye project yangu kwa waat huo like ujenz n.k.

Sijui nina shida gani.
 
Ahahahahah...
Nikiwa sina hela huwa nawataman sana wanawake na kula vizuri.Yan kila mara mnara unasoma 4g halaf njaa inauma balaa.
Ila nikizipata sasa, njaa huwa haiumi kabisaa halaf huwa nasahau kama kuna madem duniani mpaka senti ya mwisho inaposha kwenye project yangu kwa waat huo like ujenz n.k.

Sijui nina shida gani.
Sijapenda kwakweli 😒
 
Unanikumbusha mbali saana!
Niliweka pesa mara ya kwanza bank crdb Kama 7m wakati naingia first year ilkuwa mfukoni nkibakiwa na laki moja naenda kudroo zingine tena kwa sku lazma niende bank mara 2 baada ya wiki moja tu nlikuta nna laki 4 bank
Yaani pesa inapotea mkuu sijui hawa matajiri wanaweza vipi kucontrol pesa zao. Siku izi nikisikia mtu kafirisika sishangai
 
Kuna jamaa hapa jf aliwahi kuandika ukishika pesa nyingi ambazo hukuwahi shika kuna asilimia 90 ya kuzipoteza ndio utakuja simama tena akili ikiwa imekaa sawa
Lakini hujaeleza kuhusu chawa a. K. A wadananda wapambe nuksi.
Najua hawakukosekana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Si bora huyo..nina rafiki yangu anaitwa pieree yeye akipataga mshahara utadhani kapokea milion mia,ndani ya siku 5 tu anaanza kulia njaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Akipokea mshahara nishtue nije kumkomesha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom