Umasikini wakita mizizi zaidi Kenya: Taarifa ya Benki ya Dunia

Umasikini wa kenya sio lazima usubiri report ya world Bank juzijuzi UNICEF wameamua kulisha watoto karibia 200000 wanaoishi mazingira magumu
 

Bring this tutorial to Jubilee choir singers.
 
Tanzania ingekuwa na free media wangeweza kuandika hiyo habari. Lakini kwa sababu uhuru wa habari hakuna inabidi tuichungulie hii habari kutokea media za Kenya. Halafu kama kawaida tunajisifu[emoji23][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
tatizo unatafuta habari zinazokufurahisha,huzipati.unaishia kukasirika na kutafuta namna ya kujifariji.

umasikini hauwezi kutengenezewa habari ya kutangazwa kwenye vyombo vya habari saa mbili usiku.umekaa unategemea usikie ITV,star tv au clouda tena ukutane na gazeti limeandika hii habari habari ya umasikini wa $1 kwa siku!!!!ambayo ni maamuzi ya watu kuweka hivyo viwango!!!!

haya leo wakiamua kuweka $5 kwa siku ni masikini,ndio watu wataanza kufa njaa tz au watashindwa kupata mahitaji muhimu!!!

tumieni akili jamani sio jazba na misongo ya mawazo.
 
Off point.
 
That's why we are number 8 while you are 4.
 
A big mouthed mido inkamu economik is now puzzled to see with all efforts of data doctoring, nothing being changed on the ground. Everything is like it was ten years back. I think they will now realize that, the paper based economy has nothing to do with the economic development and well being of the people.
Hivi huoni Tanzania pia IPO miongoni mwa hizo nchi?

Anzisha uzi wa Tanzania, but meanwhile, the story is Kenya the mido inkamu ekonomi with the largest economy in the bloc and among the top three in sub saharan list.
 
Kwa hiyio wakenya hii ripoti mnaipinga au!???
Mbona hamueleweki

Jibu watakalokupa ni kwamba. Hata nyie mpo kwenye list.
Sasa unashangaa na kujiuliza UMASIKINI wa Kenya, una uhusiano gani na Tanzania kuwepo kwenye orodha? Nashindwa kushangaa kabisa.

CC: NairobiWalker
 
Mpo top5 jomba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tanzania ingekuwa na free media wangeweza kuandika hiyo habari. Lakini kwa sababu uhuru wa habari hakuna inabidi tuichungulie hii habari kutokea media za Kenya. Halafu kama kawaida tunajisifu[emoji23][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Kabisa, hii habari wenyewe wameikuta citizen hku media za tanzania zikijifanya nkm hawajaona kitu
 
Mbna ukiambiwa hvo unachemka jomba[emoji1787][emoji1787]

Siwezi kuchemka wakati ni ukweli usiopingika ya kwamba Kenya is featured in the list of highly indebted and poverty stricken countries. That is the fact, pia mimi ni mjumbe tu. Kama hutaki you can either go to hug the transformer or chew and swallow the razor blade.
 
Tanznia iko top5[emoji1787][emoji1787]
Huo ndio ukwel sasa sijui povu la nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…