Umasikini wakita mizizi zaidi Kenya: Taarifa ya Benki ya Dunia

Tanznia iko top5[emoji1787][emoji1787]
Huo ndio ukwel sasa sijui povu la nn

The people of NYANG'AUSTAN who like to refer themselves as akili kubwa, they are in the list of most poverty stricken countries. Now you can understand why we are using to refer you as wakunya. The father of paper based economy.
 
The people of NYANG'AUSTAN who like to refer themselves as akili kubwa, they are in the list of most poverty stricken countries. Now you can understand why we are using to refer you as wakunya. The father of paper based economy.
Imekuaje nao wazee matajiri na wenye raslimali za kutosha ukanda huu wanaongoza..
AKA dona kantri, pesa za ndani[emoji1787][emoji1787]

Kweli Bongolala linawafaa sana[emoji1787]
 
Imekuaje nao wazee matajiri na wenye raslimali za kutosha ukanda huu wanaongoza..
AKA dona kantri, pesa za ndani[emoji1787][emoji1787]

Kweli Bongolala linawafaa sana[emoji1787]

Usitafute lame excuses. Katika ukanda huu, nani hajapewa kitu na Mwenyezi Mungu. Kila mtu kapewa kitu, ila shida yenu, mliuza kwa wageni. Endeleeni tu kusema hamna kitu wakati mna fukwe, mbuga, madini, bandari, watu n.k. Ndiyo maana watu wa jangwani wanawaletea chakula.
 
Lame excuse wapi wakati hayo ndio maneno ya mlulu wenu[emoji1787][emoji1787]
Nchi imebarikiwa karibia kila kitu lkn bado wanakomalia kwnye umaskini..
Yani nyie nigeria na congo mpo sawa tu
 
Jibu watakalokupa ni kwamba. Hata nyie mpo kwenye list.
Sasa unashangaa na kujiuliza UMASIKINI wa Kenya, una uhusiano gani na Tanzania kuwepo kwenye orodha? Nashindwa kushangaa kabisa.

CC: NairobiWalker
Mbona unasumbuliwa na Kenya wakati nchi yako iko Hali mbovu Zaidi? Halafu tukiwambia mnafuatilia Sana Kenya mnaona Sisi waongo.
 
Lame excuse wapi wakati hayo ndio maneno ya mlulu wenu[emoji1787][emoji1787]
Nchi imebarikiwa karibia kila kitu lkn bado wanakomalia kwnye umaskini..
Yani nyie nigeria na congo mpo sawa tu

Sasa niambie hili la mali zetu, limewaathirije mpaka na nyie mkawa masikini hohe hahe? Yaani hamna mbele wala nyuma.
 
Mbona unasumbuliwa na Kenya wakati nchi yako iko Hali mbovu Zaidi? Halafu tukiwambia mnafuatilia Sana Kenya mnaona Sisi waongo.

Niambie hili la kuanzisha hii post kuhusu NYANG'AUSTAN limesababishaje nyie kuwa masikini kiasi hicho?

 
Sasa niambie hili la mali zetu, limewaathirije mpaka na nyie mkawa masikini hohe hahe? Yaani hamna mbele wala nyuma.
Kapambane na umaskini wenu
Utajiri unao lkn balaa walai[emoji1787][emoji1787]
 
MK254 &company Bila Shaka hawajaiona hii....
 
Kenya ina watu masikini lakini Tanzania ina masikini Wengi hadi ni balaa!!! umasikini uliopo Tanzania umekithiri hata nchi yenyewe inanuka tu umasikini
 
Nchi yetu ni tajiri. Ndiyo maana hatuna stress.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamna stress wapi hku wazee wa moshi wanaenda makwao nyie mliobaki full majungu, hata hela ya kwenda kwenu huna[emoji1787][emoji1787]
 
Jana nmesikia kupitia DW kwamba mabwanyenye wa Kenya wanaanza kutimka nchini humo kwa hofu ya uchaguzi ujao na hali mbaya ya uchumi.

Yani hawa jirani zetu wasipoacha ujinga wa ukabila watapata tabu sana.
 
Hamna stress wapi hku wazee wa moshi wanaenda makwao nyie mliobaki full majungu, hata hela ya kwenda kwenu huna[emoji1787][emoji1787]

Hivi tunavyo chati, niko na ndg zangu wa ukoo tunapiga story chini ya mti, hapa kwa mzee.
 
Kenya kuna masikini wengi kuliko Tanzania. Alisikika mtanzania akisema! 😂

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…