UMASIKINI

MGOGO27

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2016
Posts
459
Reaction score
218
UMASIKINI WAKO NI NINI?

-UMASIKINI unanzia Kwenye kupuuza unapoambiwa UKWELI na kuhisi anaekwambia sio saizi yako,lakini

-UMASIKINI mkubwa ni Kukubali wewe ni masikini,lakini

-UMASIKINI mkubwa zaidi ni Kujilinganisha na aliyekuzidi UMASIKINI,lakini

-UMASIKINI mbaya ni kumchukia Aliyekuzidi Akili au Mali au Elimu(ayeweza zaidi yako),lakini

-UMASIKINI mbaya zaidi ni kukataa kujifunza kwa Aliyekuzidi na kukataa kwenda na wakati,lakini

-UMASIKINI kiwango cha Changalawe ni Kupanga juu ya kesho(future)za wengine bila kujua kuna Mungu, lakini

-UMASIKINI wa kiwango cha Lami ni Kuhisi Unaonewa kwa Jambo lisilo haki yako na kuhisi unakubalika bila kipimo rasmi(kununua watu),lakini

-UMASIKINI kiwango cha fly-overs ni Kujisingizia Utajiri,Ukuu(kununua heshima)wakati hauheshimiki wala haufikiliwi na watu kiwango hicho!

Huo ni UMASIKINI hata kama una mahela kibao kwenye mabenki

By
Mathias Raymond Nyakapala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…