MGOGO27
JF-Expert Member
- Jan 5, 2016
- 459
- 218
UMASIKINI WAKO NI NINI?
-UMASIKINI unanzia Kwenye kupuuza unapoambiwa UKWELI na kuhisi anaekwambia sio saizi yako,lakini
-UMASIKINI mkubwa ni Kukubali wewe ni masikini,lakini
-UMASIKINI mkubwa zaidi ni Kujilinganisha na aliyekuzidi UMASIKINI,lakini
-UMASIKINI mbaya ni kumchukia Aliyekuzidi Akili au Mali au Elimu(ayeweza zaidi yako),lakini
-UMASIKINI mbaya zaidi ni kukataa kujifunza kwa Aliyekuzidi na kukataa kwenda na wakati,lakini
-UMASIKINI kiwango cha Changalawe ni Kupanga juu ya kesho(future)za wengine bila kujua kuna Mungu, lakini
-UMASIKINI wa kiwango cha Lami ni Kuhisi Unaonewa kwa Jambo lisilo haki yako na kuhisi unakubalika bila kipimo rasmi(kununua watu),lakini
-UMASIKINI kiwango cha fly-overs ni Kujisingizia Utajiri,Ukuu(kununua heshima)wakati hauheshimiki wala haufikiliwi na watu kiwango hicho!
Huo ni UMASIKINI hata kama una mahela kibao kwenye mabenki
By
Mathias Raymond Nyakapala
-UMASIKINI unanzia Kwenye kupuuza unapoambiwa UKWELI na kuhisi anaekwambia sio saizi yako,lakini
-UMASIKINI mkubwa ni Kukubali wewe ni masikini,lakini
-UMASIKINI mkubwa zaidi ni Kujilinganisha na aliyekuzidi UMASIKINI,lakini
-UMASIKINI mbaya ni kumchukia Aliyekuzidi Akili au Mali au Elimu(ayeweza zaidi yako),lakini
-UMASIKINI mbaya zaidi ni kukataa kujifunza kwa Aliyekuzidi na kukataa kwenda na wakati,lakini
-UMASIKINI kiwango cha Changalawe ni Kupanga juu ya kesho(future)za wengine bila kujua kuna Mungu, lakini
-UMASIKINI wa kiwango cha Lami ni Kuhisi Unaonewa kwa Jambo lisilo haki yako na kuhisi unakubalika bila kipimo rasmi(kununua watu),lakini
-UMASIKINI kiwango cha fly-overs ni Kujisingizia Utajiri,Ukuu(kununua heshima)wakati hauheshimiki wala haufikiliwi na watu kiwango hicho!
Huo ni UMASIKINI hata kama una mahela kibao kwenye mabenki
By
Mathias Raymond Nyakapala