Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kuna mambo unaona yakiondolewa ccm wanaweza kukosa madaraka.
Mfano swala la bima za afya zilitakiwa kuwa bure hivi kuna mtu anashindwa kulipa bima kwa mwezi shilingi 4000.
Tupo wangapi tanzania?.
Kuondoa kodi ambazo hakuna faida yoyote zaidi ya wao kujinufaikia tu mfano. Kodi za bandarini yani kuagiza gari bado serikali inaona ni hanasa wakati hiyo gari zingekuja mpaka za kubebea wagonjwa nyingi na za mazao pia.
Ubinafsi wa fursa.
Serikali ya ccm bado inaubinafsi wa fursa wenyewe sio wageni maendeleo yanaletwa kwa kutegemea siasa ya ccm. Vitu vilivotakiwa kufanywa miaka 30 vinafanywa leo.
Ccm kuwa mali ya familia au koo
Mfano swala la bima za afya zilitakiwa kuwa bure hivi kuna mtu anashindwa kulipa bima kwa mwezi shilingi 4000.
Tupo wangapi tanzania?.
Kuondoa kodi ambazo hakuna faida yoyote zaidi ya wao kujinufaikia tu mfano. Kodi za bandarini yani kuagiza gari bado serikali inaona ni hanasa wakati hiyo gari zingekuja mpaka za kubebea wagonjwa nyingi na za mazao pia.
Ubinafsi wa fursa.
Serikali ya ccm bado inaubinafsi wa fursa wenyewe sio wageni maendeleo yanaletwa kwa kutegemea siasa ya ccm. Vitu vilivotakiwa kufanywa miaka 30 vinafanywa leo.
Ccm kuwa mali ya familia au koo