Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Hili swala ingawaje linaweza kuonekana halina maana lkn nimelifikiria sana, wengi wetu Tanzania tangia tuzaliwe hadi tunakuwa watu wazima hatujawahi kulalia kitanda peke yetu bila ya kushare na mdogo/kaka, ndugu au hata jamii.
Kuna watu mara ya kwanza analalia kitanda peke yake ukubwani tena guest house au hoteli siku akisafiri.
Kuna watu mara ya kwanza analalia kitanda peke yake ukubwani tena guest house au hoteli siku akisafiri.