Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Tamaa ya kuweka kiingilio kikubwa hali ikijulikana ni nchi ya watu maskini pia tukiwa ni kichwa cha mwenda wazi hawa TFF wangeweka kiingilio buku moja tu ili tuendelee kuipa nguvu timu yetu wakati huu wa mpito.
Mabadilo haya ya siasa yaikumbe na TFF pia.
Mabadilo haya ya siasa yaikumbe na TFF pia.