Let’s talk about this level of poverty in Kenya,Inaitwa Jf, kuna mtu ameumwa kweli kweli.Duh! Hii video inatia huruma, kuna Watanzania wanaishi maisha ya tabu sana, mbona hivi kwa kweli
Tatizo mnapenda majigambo na kuwasahau ndugu zenu wengi wanavyoteseka.www.jamiiforums.com
Ingependeza zaidi kama tungeanza kwa kujadili hili zizi la ng'ombe ambalo wanafunzi wanatumia kama darasa kule Maili Tisa, Mtwara.Let’s talk about this level of poverty in Kenya,
Achana na hao waliovunjiwa nyumba zao
Duuuh kyera Leo imehamia kigoma , maajabu ya musa hayaAu madarasa ya shule ya msingi Songambele, Kyera kule Kigoma.Elimu nchini kwenu Tz ni majanga, yaani ni sekta ambayo imetelekezwa kabisa. Ila wewe hapo unadhani ukiangazia % kidogo ya failures za Kenya, sanasana kwenye jamii za kuhama hama za wafugaji, ndio itaipaisha Tz juu. Nakushauri upitie bajeti ya Kenya uone mgao wa elimu alafu ulinganishe na nchi yako ya 'asali na maziwa'.
Kagera, hongera lakini, hujakana kwamba hapo ni Kyera, Magufulistan na hujawalaumu Mabeberu.Duuuh kyera Leo imehamia kigoma , maajabu ya musa haya
Kwani Tanzania si nchi maskini tu yenye uchumi mbovu? Na Kenya si ndio kinara wa East Africa with highest GDP? middle income country hio ama sio?Ingependeza zaidi kama tungeanza kwa kujadili hili zizi la ng'ombe ambalo wanafunzi wanatumia kama darasa kule Maili Tisa, Mtwara.
These dogs from Danganyika wanakera tu,They are in a worse off situation na wanaangaika huku kama warthogs tu
Kenya is 5th Largest Economy In Africa according to Kenyans here,
Yaani ni Nigeria, SA, Egypt, Morocco then Kenya,
Now see those Nations and compare yourselves to them,
Vinyangarika nyie,
A reason we are surprised by the Kenya’s middle income status
Coming from an African hunting dog like you,,,Yes,You can imagine how danganyika is then,the poorest country in the worldKenya is 5th Largest Economy In Africa according to Kenyans here,
Yaani ni Nigeria, SA, Egypt, Morocco then Kenya,
Now see those Nations and compare yourselves to them,
Vinyangarika nyie,
A reason we are surprised by the Kenya’s middle income status
Kenya ni uchumi wa kati babuu. Hata ukilia machozi hiyo haitabadilisha ukweli kuwa sisi ni Middle income nyie Ldc.What is so wrong with that?
Hivi kenya ni middle income ya aina gani eti?