Umaskini wa asili ni rahisi kuuondoa kuliko umaskini bandia (umaskini wa kutengenezwa na watawala)

Umaskini wa asili ni rahisi kuuondoa kuliko umaskini bandia (umaskini wa kutengenezwa na watawala)

Halafu hakuna sehemu niliyoandika kwamba wanaoenda msikitini wote ni maskini na katika huo mfano wa mtu kwenda kuiba kandambili msikitini Kisha kukamata na kuuliwa na watu wenye hasira Kali,nimetumia kuonyesha ni ajabu Kwa mtu ambaye mwenye fikra timamu asiye na njaa na tamaa kuweza kuwaza na Kisha kuamua kwenda kuiba kandambili msikitini.

Mwisho Kwa kuongezea,umaskini ambao huo wa kutengenezewa/bandia ambao aliusema mtoa mada ni unaanzia au umebase sana kwenye fikra Kisha ndo kwenye sehemu zingine kama ukosefu wa fedha.
Nimekuelewa brother.
 
Huna haja ya kumuomba Mungu ili uondokane na Umaskini wa asili kwa sababu naturally kila kiumbe kimezaliwa na uwezo wa kuuondoa Umaskini wake na jamii yake pasipo msaada kutoka nje, lakini Umaskini bandia yaani wakutengenezewa huo unahitaji nguvu ya ziada kukabiliana nao.
Sahihi
 
Back
Top Bottom