Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Zile 5 kufutika ni ngumuBinadamu tumeumbwa kusahau. Yanga ilipoifunga Simba msimu huu, Rais wa Yanga Hersi Said alienda kujitapa kwa Rais wa CAF na mmiliki wa Mamelodi Sundowns Patrice Motsepe pamoja na Rais wa FIFA Infantino.
Kumbe Motsepe ni mshabiki mkubwa wa Meddie Kagere na anaijua ile kauli yake ya "mnafiki ishi naye kinafiki" akawa anamchora tu mwanetu, akampa hadi cheo bandia kama kile cha Naibu Waziri Mkuu.
Jana mzee mzima akamtumia message Rais wa Vilabu Afrika akimwambia "sisi siyo milima, tumekutana", ameamua kutuma vijana wake kina Shalulile wapunguze kelele mjini na nadhani umbea pia utapungua kwa kiasi fulani.
Tulia kibaki hivyo hivyo
Aahaaaaa.... makocha wengine wanarudishwa shule.
Akipita hapo watasema amecheza na Mamelodi Sundowns iliyoshuka kiwangoYanga tangu mwaka Jana kwenye shirikisho mpaka hapa alipofika, watu walikuwa wanasema mwisho wake umekaribia alafu anapita, baadae lugha ikabadilika tena amekutana na timu ambazo hazipo katika kiwango kizuri kama nyuma.
Kwa issue sijui akipita watu watasemaje maana Mamelod wapo kwenye kiwango kizuri
It is better to keep your mouth closed and let people think you are a fool than to open it and remove all doubt.Binadamu tumeumbwa kusahau. Yanga ilipoifunga Simba msimu huu, Rais wa Yanga Hersi Said alienda kujitapa kwa Rais wa CAF na mmiliki wa Mamelodi Sundowns Patrice Motsepe pamoja na Rais wa FIFA Infantino.
Kumbe Motsepe ni mshabiki mkubwa wa Meddie Kagere na anaijua ile kauli yake ya "mnafiki ishi naye kinafiki" akawa anamchora tu mwanetu, akampa hadi cheo bandia kama kile cha Naibu Waziri Mkuu.
Jana mzee mzima akamtumia message Rais wa Vilabu Afrika akimwambia "sisi siyo milima, tumekutana", ameamua kutuma vijana wake kina Shalulile wapunguze kelele mjini na nadhani umbea pia utapungua kwa kiasi fulani.
Yaani acha tuAkipita hapo watasema amecheza na Mamelodi Sundowns iliyoshuka kiwango
Yanga ipi hiyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mambo yakienda tofauti msije mkalia lakini! hii yanga kumbuka inafukizisha makocha wa timu pinzani bila kutarajia!..
yanga yasasa inakusisimua pale ambapo hautarajii!
Vipi vibe lenu la droo bado linaendelea? Maana mlitarajia Al Ahly ni mtelemko kisa mnajuana halafu kutwa kuitishia Yanga kwa Mamelodi eti mtakula nyingi ndani nje ila cha ajabu mpaka sasa kuna timu imepigwa ndani nje na waliomuona ndio kibonde kwao.Kuna ujinga mwingi umefanyika ndani ya hizi wiki 3 ambao uliitia gundu Deportivo de Utopolo. Tuepuke siasa na tujitenge na wanasiasa katika michezo kama kweli tunataka tufike huko mnapopalilia.
Msione nipo kimya. Niliyoyasema hamkuyasikiliza, nimeamua kuwachora tu sasa hivi. Pambaneni na hali zenu.
Nionyeshe kwa uthibitisho wa picha, video au post inayoonyesha ni wapi MIMI niliwahi kusema Al Ahly ni mteremko. Mimi napiga kotekote, Yanga naisema na Simba wakizingua naisema vilevile, sipendi ujinga.Vipi vibe lenu la droo bado linaendelea? Maana mlitarajia Al Ahly ni mtelemko kisa mnajuana halafu kutwa kuitishia Yanga kwa Mamelodi eti mtakula nyingi ndani nje ila cha ajabu mpaka sasa kuna timu imepigwa ndani nje na waliomuona ndio kibonde kwao. View attachment 2957516
Ila ya Mamelodi kuwa watapiga utopolo vya kutosha pia hukusema? Eti eehNionyeshe kwa uthibitisho wa picha, video au post inayoonyesha ni wapi MIMI niliwahi kusema Al Ahly ni mteremko. Mimi napiga kotekote, Yanga naisema na Simba wakizingua naisema vilevile, sipendi ujinga.
Kwanza nitumie link ya yale majadiliano tulifanya kabla ya mechi za kwanza, kuna kitu nakitafuta.
Ndiyo maana nimekwambia nitumie link ya ule uzi maana wakati nyie Yanga wenyewe mlikata tamaa kwa kuwakosa baadhi ya wachezaji wenu, mimi ndiyo niliwaambia mkikaza mnaweza kutoboa.Ila ya Mamelodi kuwa watapiga utopolo vya kutosha pia hukusema? Eti eeh
ya gamondYanga ipi hiyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Isiyo na wapiga penalty? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ya gamond
Manual wa kuhongwa hatocheza😂😂😂😂😂mambo yakienda tofauti msije mkalia lakini! hii yanga kumbuka inafukizisha makocha wa timu pinzani bila kutarajia!..
yanga yasasa inakusisimua pale ambapo hautarajii!
Tumeiona simba yenye wapiga penatiIsiyo na wapiga penalty? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]