Unaweza ukaenda labour na ukatoka mikono mitupu, kupata watoto isiwe fimbo ya kuwachapia wasio na watoto Tatizo zari ameanza kuu copy uswahili Sasa Zamani ulikua ukijisifu kwa Magari na u Boss Lady sasa unajisifu kwa kuzaa hata panya anazaa lakini mwisho wa siku hajui wanae walipokwendaKwenda labour ni sifa namba moja ya kua mwanamke. acha atambe kama wamemuanza, wape vidonge vyao na wakomo kabisa kukufuata fuata, wewe ni level nyingine atiiii....
uzazi tunachezea wenyewe, mungu anakupa uzazi wa kutosha lakini kutwa uko maria stopes maana hujajiandaa, siku ukiamua unataka mungu nae anakubania, wale uliotupa chooni kwani hawakua watoto..!! mungu hataniwi hata siku moja. acha waisome namba wale waliotupa watoto.Tumshukuru Mungu kwa kila jambo na aliekupa wewe ndyo kamnyima yule. Zari inajulikana kabisa alikua anamlenga nani, kuzaa si kupata unaeza zaa wakawa mashoga mwisho ufe kwa stress umuache hai yule ambae hajazaa. Mungu wajaalie wote wasio bahatika kupata watoto waweze kupata watoto.
Huu ni upagani uliovuka kiwango cha ushetani. Huyu mtu anatakiwa kupewe fundisho ili ajue Yuko Mungu Anayemiliki Mbinguni na kutawala duniani.
Kutokkuwa na Mungu kwake hakumpi uwezo wowote wa kujiweka juu ya Mungu. Anahitaji kufundishwa kwa nguvu iliyojuu ya uwezo wa binadamu ili awe mfano hai na fundisho kwa wapumbavu kama yeye.
hajajisifia kuzaa ila kulinganishwa na mtu ambae hajazaa coz kuzaa kunazeesha, kiukweli mwanamke aliyekwisha zaa mara nne kuwa hot ni ngumu na wapo wachache. (JAPO SIKUWA NAE AKIANDIKA)Yaani huyu bi.mkubwa anaona Mungu kampendelea sana eeehhh!!??
mi kanikwaza maana nna aunt yangu hana uwezo wa kuzaa!!halafu yuko good in evryrthing kashaambiwa yy ni taxa kabisa yaan daah!
MTU anaingilia kazi ya Mungu!!
ndio hapo sasa sijui kungwi gani kamwambia kuzaa ufahari mxiuuuuuMmh kazi ya Mungu Haiingiliwi. ....
BTW so katika vitu vyote alivyowazidi hao wanaofananishwa naye, kubwa ni kwenda labour mara 4?
uzazi tunachezea wenyewe, mungu anakupa uzazi wa kutosha lakini kutwa uko maria stopes maana hujajiandaa, siku ukiamua unataka mungu nae anakubania, wale uliotupa chooni kwani hawakua watoto..!! mungu hataniwi hata siku moja. acha waisome namba wale waliotupa watoto.
Koh Koh 35, four kids but still howt
Toka 2014 umri umegandia hapo hapo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hauongezeki loooh!35 kweli Mond alibugi
Kungwi Irene Mbowe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ndio hapo sasa sijui kungwi gani kamwambia kuzaa ufahari mxiuuuuu
Na yale mabaka miguuni kama mbuyu twite anataka kurusha mpiraHata hata nikikuta katupwa simuokoti.. Bora wema.. Wema tisha sana ..
Kumbe unamjua huyu kungwi wa fb kutoka Arusha..Kungwi Irene Mbowe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Me kwangu huyo ndo the best kungwi. ....Tena anawafanya wanawake wawe karibu zaidi na MunguKumbe unamjua huyu kungwi wa fb kutoka Arusha..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe unamjua huyu kungwi wa fb kutoka Arusha..
My school mate sikuwahi kujua anaweza kuwa kungwi duh...Me kwangu huyo ndo the best kungwi. ....Tena anawafanya wanawake wawe karibu zaidi na Mungu