babacollins
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 901
- 212
Mpira una umbo la duara na miguu ina umbo ambalo kiuhalisia haliendani na kuuchezea mpira. Hii ni sababu muhimu kwa watoto wanaopenda soka kuzoezwa mapema kuuchezea mpira kwa muda mrefu.
Kwa Afrika ni timu chache zenye uwezo wa kuwa na timu za watoto ambapo kila moja ana mpira wake kwa ajili ya kumpa muda mrefu wa kucheza na mpira.
Kwa hiyo sio ajabu kuwakuta baadhi ya wachezaji huku kwetu, wakiwa na uwezo mdogo wa umiliki wa mpira na wapo madaraja ya juu.
Hii ni miongoni mwao kanuni muhimu pia katika soka.
Mchezaji kiongozi.
Kwa Afrika ni timu chache zenye uwezo wa kuwa na timu za watoto ambapo kila moja ana mpira wake kwa ajili ya kumpa muda mrefu wa kucheza na mpira.
Kwa hiyo sio ajabu kuwakuta baadhi ya wachezaji huku kwetu, wakiwa na uwezo mdogo wa umiliki wa mpira na wapo madaraja ya juu.
Hii ni miongoni mwao kanuni muhimu pia katika soka.
Mchezaji kiongozi.