frank lion
Member
- Sep 22, 2016
- 98
- 120
Halafu nasikia alikua na mimba[/QUOTE mi mwenyewe niliisikia iyo yani mtoto shida yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu nasikia alikua na mimba[/QUOTE mi mwenyewe niliisikia iyo yani mtoto shida yule
Bureta je unamkumbuka?Way back 2003
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..ntarudi nikale zile half-cake za kwa Olomi nimuone huyo mtotoMtoto wa olomi Neema kamekuwa na chuchu nzuri siku hzi
Na hiyo tako sasa ni noma mama ake haoni ndan[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..ntarudi nikale zile half-cake za kwa Olomi nimuone huyo mtoto
Hapa nadhani hata olomi hajaanza kuuza dukaBureta je unamkumbuka?
kiruuuuuNa hiyo tako sasa ni noma mama ake haoni ndan
Ni noma baaabangukiruuuuu
Kama mna kumbukumbu Olomi aliwah kuua mtu sasa nenda ukaongeze idadi ya marahemu[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..ntarudi nikale zile half-cake za kwa Olomi nimuone huyo mtoto
haha...hawezi nifanya kitu mkuu, hii inafanyika kwa mipango maalumKama mna kumbukumbu Olomi aliwah kuua mtu sasa nenda ukaongeze idadi ya marahemu
Alhamis nitakuwa umbweoya mwanakamati tushuke umbwe basi wiki ii
mi fridayAlhamis nitakuwa umbwe
Tutakutana hukomi friday
Omary amesha hama ameenda kuwa mkuu wa shule huko romboZama zetu alikuwa head lymo then second omary vipi habibu mbea mbea yupo???
Habibu yupo ,Zama zetu alikuwa head lymo then second omary vipi habibu mbea mbea yupo???
Vp pale kwa olomi chai ipo, Androlax je ipo au wazinifu wamepungua, vp somsom wanapatikana wadada poa kama zamani, vp Mzee Kitua kastaafu au yupo, Kitimoto kwa Waziri vp mihogo na samaki mapambano...Soko kombo limechangamkaa..Roho ya paka muuza karanga alishakufa najua, vp Kutoroka kwenda pub...daaah hataree
Kama umesoma umbwe secondary njoo tukutane kubadilishana mawazo.
Mkuu wa shule wa sasa ni :Zephania .E. Japhet
Makamo wake ni :Jopa (jina lake maarufu)
Taaluma:madam ZENA NA KIURE
Karibu we mkereketwa wa umbwe secondary