Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Nimeipenda hiiMajina wizi mtupu, alinisave mai-gojas, siku nyingine anaitafta simu yake ikabidi niipigie ili tusikie inapoitia, kuja kuiona nakuta jina limeandikwa old-guelira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda hiiMajina wizi mtupu, alinisave mai-gojas, siku nyingine anaitafta simu yake ikabidi niipigie ili tusikie inapoitia, kuja kuiona nakuta jina limeandikwa old-guelira.
Baa tamu au ba tamu?Mwanzo nili msave "ba tamu"
Cku ameshika cm, akabadilisha akaandika "My Love"
Ila mie napenda kumuita ba tamu, [emoji178][emoji178][emoji178]
Shangazii em niwachee, nimecheka had baas, ko umevurugika haswaa!!!Mwenzangu ankol wako nilimsave Kwa jina lake [emoji3][emoji3][emoji3]
Nikagairi nikmsave Rouhy na kopa juu akanivuruga now nimemsave Kwa jina la ukoo wao [emoji23][emoji23]
"Ba tamu" ikimaanisha "baba tamu"Baa tamu au ba tamu?
Nimemsave My QueenMoja kati ya vitu vizuri na kuvutia zaidi ni kuona jina zuri aliloku sev mwandani wako😅
umetisha sana mkuu, tuma salamu kwa watatu. Ujumbe waambie unawapenda sana najua udugu wako hakosi, yu wapi simuoni?"Ba tamu" ikimaanisha "baba tamu"
😂Yan akivuruga zaidi sijui itakuwajeShangazii em niwachee, nimecheka had baas, ko umevurugika haswaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yuko sanaa humu ndani na anaswampaa km kawaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umetisha sana mkuu, tuma salamu kwa watatu. Ujumbe waambie unawapenda sana najua udugu wako hakosi, yu wapi simuoni?
Shangazii em sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].[emoji23]Yan akivuruga zaidi sijui itakuwaje
Nioneshe nimuoneYuko sanaa humu ndani na anaswampaa km kawaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngojaa atakujiaa soon utamuona, [emoji23][emoji23][emoji23]Nioneshe nimuone
Utanishtua kijanja, hakikisha nashtukaNgojaa atakujiaa soon utamuona, [emoji23][emoji23][emoji23]
Usijariii half cast koko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utanishtua kijanja, hakikisha nashtuka
Hilo jina 😐Usijariii half cast koko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo limeishaaa.
CBHilo jina [emoji52]
Hapo kwenye code ndio kipengele na nilivyo mzito kama uji wa msibani.CB
Hizo code, afu maneno yake ni mchumba mzuri.