UMEAHIRISHWA: JKT Tanzania vs Yanga | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Meja Jen Isamuhyo | 23/04/2024 Umeahirishwa

UMEAHIRISHWA: JKT Tanzania vs Yanga | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Meja Jen Isamuhyo | 23/04/2024 Umeahirishwa

Lakini kwa hili TFF na bodi ya ligi wameonesha ni kama taasisi inayoongozwa na watu wasio na maarifa na utimamu wa akili. Jana mechi imeahirishwa sababu ya mvua na uwanja kujaa maji. Halafu wanapanga tena mchezo upigwe leo utafikiri mvua zimeshaacha kunyesha vile.
Mbaya zaidi uwanja uleule, kwanza uwanja gani ule una vipara kila kona kama uwanja wa kucheza cha ndimu.
 
Mbaya zaidi uwanja uleule, kwanza uwanja gani ule una vipara kila kona kama uwanja wa kucheza cha ndimu.
Sijui wana nia gani na Yanga kwenye hii mechi, yaani wanalazimisha mechi ichezwe pale pale palikoshindikana jana. Kwahiyo na leo ikitokea mazingira kama ya jana halafu wakahairisha tena si itakuwa ni utoto huo? Huu ni uhuni na uswahili katika uendeshaji wa ligi. Uwanja haufai
 
Sijui wana nia gani na Yanga kwenye hii mechi, yaani wanalazimisha mechi ichezwe pale pale palikoshindikana jana. Kwahiyo na leo ikitokea mazingira kama ya jana halafu wakahairisha tena si itakuwa ni utoto huo? Huu ni uhuni na uswahili katika uendeshaji wa ligi. Uwanja haufai
Nadhani Bodi ya Ligi na TFF, kuna tatizo.
 
Mbaya zaidi uwanja uleule, kwanza uwanja gani ule una vipara kila kona kama uwanja wa kucheza cha ndimu.
Hivi unafikiri hao Tff wanaifurahia Yanga?? Hapo kinachotafutwa ni kutengeneza mazingira magumu kwa Yanga ili angalau afungwe au sare.

Ule uwanja ni wa hovyoo sana
 
Back
Top Bottom