UMEAHIRISHWA: JKT Tanzania vs Yanga | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Meja Jen Isamuhyo | 23/04/2024 Umeahirishwa

Mbaya zaidi uwanja uleule, kwanza uwanja gani ule una vipara kila kona kama uwanja wa kucheza cha ndimu.
 
Mbaya zaidi uwanja uleule, kwanza uwanja gani ule una vipara kila kona kama uwanja wa kucheza cha ndimu.
Sijui wana nia gani na Yanga kwenye hii mechi, yaani wanalazimisha mechi ichezwe pale pale palikoshindikana jana. Kwahiyo na leo ikitokea mazingira kama ya jana halafu wakahairisha tena si itakuwa ni utoto huo? Huu ni uhuni na uswahili katika uendeshaji wa ligi. Uwanja haufai
 
Nadhani Bodi ya Ligi na TFF, kuna tatizo.
 
Mbaya zaidi uwanja uleule, kwanza uwanja gani ule una vipara kila kona kama uwanja wa kucheza cha ndimu.
Hivi unafikiri hao Tff wanaifurahia Yanga?? Hapo kinachotafutwa ni kutengeneza mazingira magumu kwa Yanga ili angalau afungwe au sare.

Ule uwanja ni wa hovyoo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…