young solicitor
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 1,123
- 713
Hiyo ni kwasababu Trump hakuwa na majority kwenye congress ambayo ndiyo hufanya vetting ya mabalozi/high commissioners. Ila kwa sasa Biden ana majority kwenye congress.Tumia akili kidogo
Tangu Trump achaguliwe alikaa miaka mitatu kabla hata ya kufikiria kuteua balozi kuja Magufulistan
Hujui lolote nje ya upuuzi wa Ccm
Disclaimer: mimi sio ccm wala cdm