Umechoka Kukaa nyumba za gharama!!??

Umechoka Kukaa nyumba za gharama!!??

Ukitaka maendeleo kaa mtaa ambao wewe utaonekana ni masikini,usikae na watu masikini watakuambukiza negative energy baada ya mda wewe utakuwa masikini kuwazidi.
Ukikaa na watu wanaokuzidi uwezo utajenga connection kupitia misiba,sherehe,vijiwe bar au pub walevi huwa marafiki au kupitia ibada za jumuiya.
Mitaa iliyofanikiwa Wana positive energy.
Mkuu pokea maua yako!
 
Ukitaka maendeleo kaa mtaa ambao wewe utaonekana ni masikini,usikae na watu masikini watakuambukiza negative energy baada ya mda wewe utakuwa masikini kuwazidi.
Ukikaa na watu wanaokuzidi uwezo utajenga connection kupitia misiba,sherehe,vijiwe bar au pub walevi huwa marafiki au kupitia ibada za jumuiya.
Mitaa iliyofanikiwa Wana positive energy.

Naomba nihamie mtaani kwako [mention]bongo dili [/mention]
 
Back
Top Bottom