Umefanya makosa, Je utachagua yupi kati ya hawa ujitetee na unusurike?

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Umefanya kosa let say 'treason' then ukakamatwa na umepelekwa mbele ya mmoja kati ya hawa ili uhukumiwe, unadhani yupi angalau anaweza kukusikiliza na kukusamehe?

1. THEODORE "T-Bag" BAGWELL


2. RAMSAY BOLTON



3.TUCO SALAMANCA


4. TODD ALQUIST


5.KING JOFFREY BARATHEON
Admin1988 Active Moderator BlackBold Boqin n Naomba mbadili heading isomeke 'Umefanya kosa, unachagua yupi kati ya hawa awe mtoa hukumu angalau akusamehe unusurike"
 
Hapo ni kuchagua atakae kuua haraka binafsi naenda na king Jofrey huyu hakuwa amekuwa muuaji sana
 
Hapo ni kuchagua atakae kuua haraka binafsi naenda na king Jofrey huyu hakuwa amekuwa muuaji sana
Huyo dogo ni Psychopath πŸ˜€ akijisikia kunywa supu ya ulimi wako, chap anaagiza maaskari wakushughulikie.Akili zake hazieleweki, Dictator mbaya sana, Unakumbuka yule mwanamziki wake kajitahidi kuimba, akampigia makofi alafu akamuuliza ungependa ubaki na kipi, mkono au ulimi? (maana aliona hajui kuimba) Chap akakatwa ulimi πŸ˜€
 
Labda uchague atakaekuua huku anatabasamu ila hapo hakuna hata mmoja wa kukusamehe unawahishwa kwa Mola ASAP
 
Hapo ni kuchagua atakae kuua haraka binafsi naenda na king Jofrey huyu hakuwa amekuwa muuaji sana
Huyo anakuua huku anacheka akimaliza anaagiza aletewe supu ya ulimi wako πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…