The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,899
Ila umesahu kuwa saiv simba ni bingwa kwa miaka 2 na huu tunachukuaMshangai,
Hahahaha umeongea la maana ingawa utapingwa na wengi. Mimi siyo Simba ila kwa klabu kuwa na msemaji Kama yule wa mipasho no fedheha kwa klabu...yeye Kila muda ni mipasho tu kwa Yanga utafikiri klabu hizi ni za taarabu...upo wakati Yanga nayo wakati wa manji ilikuwa na msemaji wa Aina hiyo, dah..Simba itabidi wakae chini na kuchukua hatua..ingekuwa ni nchi nyingine huyo manara angekuwa ameshafungiwa kitambo.
Wakati jerry alipokuwa anafanya hichi anachofanya haji, yanga ilichukua ubingwa mara 4 katika miaka mitano.
Sent using Jamii Forums mobile app