Umefika wakati wa Simba kutafuta Msemaji mwingine

Ila umesahu kuwa saiv simba ni bingwa kwa miaka 2 na huu tunachukua

Wakati jerry alipokuwa anafanya hichi anachofanya haji, yanga ilichukua ubingwa mara 4 katika miaka mitano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee..unashindwa kujua how hao followers wanavyoweza kuinufaisha team? Upo dunia ya wapi mzee bado unafikiria miaka myeusi hukoo? Hujui kuwa na followers wengi kwa timu ni sehemu ya maendeleo ambapo sasa kama team inaweza kutangaza kuuza jezi na bidhaa zingine kwa urahisi kwa watu wake?

Hujui kuwa kwa team kuwa na watu wengi kwenye mitandao inasaidia kuipa thaman klabu hasa kwenye mambo ya marketing ?

Yanga mnafeli wapi aisee?
 
Anaiharibu vipi team uwanjani? Kwani yeye anacheza namba gani?
 
Unaweza kuthibitisha kuwa chuo ni fake ?
Kwanza bado kipo?
Kipindi kilifungwa. Magumashi kuanzia walimu, majengo na vifaa. Ilikuwa total disaster.
Huyo mtu wenu form alipata div ipi?
 
Uswahili swahili wa Kariakoo level hiyo imeshapitwa na sasa tuwe kama klabu zingine kubwa barani Afrika.
Taja hizo klabu kubwa na wasemaji wake, kama si msemo tu wa kuhalalisha nia yako. Zitaje hapa hapa tuone
 
Acha ulozi mkuu!Hii ni bongo na sio lazima tuige utamaduni wa wenzetu!Tunaiga mpira tu na tutashangilia kwa vionjo vyetu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa mkuu sijawahi ona manara akipost tambo au kejeri kwenye official account za simba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siungi MKONO...MANARA TUNAMPENDA NA TUNAMHITAJI...ingekuwa followers Wa instagram na fb siyo kigezo na si kitu cha msingi walotoa hizo takwimu wasingetoa maana hakuziandika MANARA ni watu wameandika mzee...Manara aendelee kuwepo anafaa mno kuliko msemaji yeyote hapa TZ.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kwa sababu siyo Simba huwez enjoy utamu Wa Manara kaa tulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MANARA hamumpend coz anawanyoosha na sisi ndo tunavyotaka kuwanyoosha NDANI na NJE ya uwanja VYURA TOPE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo haondoki hapo miaka 100 simba mbovu uwanjan na imeshachukua Mara mbili mfululizo inatafuta ya 3...upo Tanzania au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
100% fact...MANARA anawaumiza hawampendi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuwez fata mfumo wenu Wa msemaji mwingine na mhamasishaji mwingine kwetu Manara anamudu zote hizo vizuri tu....Mbona nyie mna MR JAHAZI TAARAB hata mpira hajui anawaza kushindana na Manara anafikia hatua ya kuongea kwenye vyombo vya habari kwamba HAWAWEZI KUUMIZA WACHEZAJI KWENYE MASHINDANO MADOGO (MAPINDUZI) baada ya kutolewa..nadhani mngeanza na yule asiyejua heshima ya Mapinduzi Cup.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ulozi mkuu!Hii ni bongo na sio lazima tuige utamaduni wa wenzetu!Tunaiga mpira tu na tutashangilia kwa vionjo vyetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si tunajifunza kwa walioshinda au? Fikiria kauli ya Manara kwa Tecno ingeleta madhara gani kama kulikuwa na dili la udhamomi linakuja kati ya Simba na Tecno?

Tujifunze kukemea penye ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…