Umegundua kuwa wanawake ambao ni wife material hawako romantic?

Umegundua kuwa wanawake ambao ni wife material hawako romantic?

The patriot man

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
1,071
Reaction score
1,361
Habari Wakuu

Hivi umegundua kwanza wanawake ambayo ni wife material hawako romantic kabisa yaani ata kukuita darling, my love ni ishu yaani[emoji23][emoji23].

Na wana aibu hao ata mkiwa kwenye kitanda mara nyingi wanafunga macho hawapendi kuiangalia kabisa wala kuishika[emoji23][emoji23] na ukimbadilisha style hee kidogo tuu amechoka jamani sema hawa ndo wazuri maana hawana mambo mengi.
 
Mwanamke akipewa uzuri na kujua mapenzi kwa ustadi.

Huwa na Gharama sana, bila kuwa tajir humpati.
 
Ila mwanamke akiwa na mbwe mbwe sana anakata utamu kabisa.

Mwanamke makeke meeeengi, wakati mwingine inaboa.

Mwanamke inapaswa unatulia, anakuachia uwanja ye kazi yake ni kutoa support kama kuzungusha kiuno n.k

We kazi yako ni kupeleka moto, huku unatoa maelekezo kama jenero kwenye vita ya urusi, "mguu juu" , "mguu chini", "geuka", "mguu upande, mguu sawa".
Ye hapo ni vilio tu kama msiba vile, we ni maneno kidogo kazi kwa wingi.


Sasa eti unakuta janaume na lenyewe linalia, aisee ... mnatuabisha.

By the way,,, sorry mtoa uzi kwenda nje ya mada, Ni kweli wife material hawana mbwe mbwe, halafu ni watamu hao... hiiiiiii...
 
Habari Wakuu

Hivi umegundua kwanza wanawake ambayo ni wife material hawako romantic kabisa yaani ata kukuita darling, my love ni ishu yaani[emoji23][emoji23].

Na wana aibu hao ata mkiwa kwenye kitanda mara nyingi wanafunga macho hawapendi kuiangalia kabisa wala kuishika[emoji23][emoji23] na ukimbadilisha style hee kidogo tuu amechoka jamani sema hawa ndo wazuri maana hawana mambo mengi.
Nishuhudieee kwa macho au kwa kuwahadhia
 
Ila mwanamke akiwa na mbwe mbwe sana anakata utamu kabisa.

Mwanamke makeke meeeengi, wakati mwingine inaboa.

Mwanamke inapaswa unatulia, anakuachia uwanja ye kazi yake ni kutoa support kama kuzungusha kiuno n.k

We kazi yako ni kupeleka moto, huku unatoa maelekezo kama jenero kwenye vita ya urusi, "mguu juu" , "mguu chini", "geuka", "mguu upande, mguu sawa".
Ye hapo ni vilio tu kama msiba vile, we ni maneno kidogo kazi kwa wingi.


Sasa eti unakuta janaume na lenyewe linalia, aisee ... mnatuabisha.

By the way,,, sorry mtoa uzi kwenda nje ya mada, Ni kweli wife material hawana mbwe mbwe, halafu ni watamu hao... hiiiiiii...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa maelezo yako yanaendana na wangu yupo hivi,, yan namuamrisha na hajawai kubisha chochote nachomwambia
 
Wanasemaga tendo ni kimwili zaidi sio kiroho.. ukimpata mtu inabidi umchakate kweli kweli hata kama anafumba fumba macho.. na kuhusu kuishika siku ukijisikia kushikwa nae hataki au awezi kuishika itakuwaje?..

Na upande kwa wanaume nahisi ni hivyo hivyo hawapo romantiki kwa tukizingatia mada uliyoiangusha hapo mkuu
 
Back
Top Bottom