Umegundua nini kwenye picha hizi?

Umegundua nini kwenye picha hizi?

byeyombo

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2015
Posts
2,647
Reaction score
4,184
Wale wataalamu wa lugha ya picha na photorealistic mtusaidie kidogo
20221215_213534.jpg
20221215_213541.jpg
 
Nachoona ni Bideni kawakusanya ombaomba woote kutoka Africa na kupiga nao picha....

WaAfrica tungekuwa tunajipa muda na kukutana kuamua strongly yanayotuhusu kama kuwa na currency moja, language moja, kutoandoa viza, mitaala ya shule inayoendana na dunia ya sasa nk..
 
Hivi kwa nini Mama anamkwepa sana patina wake kwenye kusafiri nae!? Je anajisikia aibu kua na Mr wake!? Kama fungu la safari lipo,Sasa shida iko wapi!?
Yakhe sisi tumeishazoea kula ubwabwa kwa kutumia mikono. Sasa hayo mambo ya huko kutumia sijui umma sijui kijiko, nitayawezea wapi?

Halafu mimi kupanda midege siwezi, nimeishazoea zangu kupanda jahazi, raha mustarehe
 
Back
Top Bottom