mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,559
Habari wakuu,
Katika pitapita zetu za maisha tumejikuta tukienda sehemu mbalimbali kulingana na sababu mbalimbali ikiwamo masomoni,kazini,biashara, utalii nk nk
Kuna wengine wamefanikiwa kuvuka mikoa yao,nchi zao,na hata mabara na wengine hawajawahi hata kutoka nje ya mikoa yao lakini bado kuna vitu ambavyo wamegundua na wanaweza kutujuza pia.
Lengo ni kujaribu kufahamishana mambo kadha wa kadha ambayo pengine si ya kawaida tuliyowahi kuyashuhudia katika mizunguko yetu ili na wengine ambao hawajawahi kufika katika hayo maeneo basi wakaelimika na kpata faida pia.
Mfano nimegundua,
Akina mama/bibi wa Iringa hata kama akiwa anasalimiana na kijana mdogo wa kiume ni lazima wakunje goti.
Madereva na makondakta wengi wa daladala aina ya Dcm jijini Dar ni Wachagga
Wazaramo wanathamini zaidi ngoma kuliko kitu kingine chochote.
Wadau nyie katika tafiti zenu ndogo mmegundua nini?
Karibuni
Katika pitapita zetu za maisha tumejikuta tukienda sehemu mbalimbali kulingana na sababu mbalimbali ikiwamo masomoni,kazini,biashara, utalii nk nk
Kuna wengine wamefanikiwa kuvuka mikoa yao,nchi zao,na hata mabara na wengine hawajawahi hata kutoka nje ya mikoa yao lakini bado kuna vitu ambavyo wamegundua na wanaweza kutujuza pia.
Lengo ni kujaribu kufahamishana mambo kadha wa kadha ambayo pengine si ya kawaida tuliyowahi kuyashuhudia katika mizunguko yetu ili na wengine ambao hawajawahi kufika katika hayo maeneo basi wakaelimika na kpata faida pia.
Mfano nimegundua,
Akina mama/bibi wa Iringa hata kama akiwa anasalimiana na kijana mdogo wa kiume ni lazima wakunje goti.
Madereva na makondakta wengi wa daladala aina ya Dcm jijini Dar ni Wachagga
Wazaramo wanathamini zaidi ngoma kuliko kitu kingine chochote.
Wadau nyie katika tafiti zenu ndogo mmegundua nini?
Karibuni