demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Mambo vipi wadau.
Kitambo sana sijapost pahala hap. Ila niwape pole Mikia Fc kwa kupoteza mechi dhidi ya Morrison FC. Halafu ile freekick ya jamaa imewafanya Viongozi wa Simba wampigie simu Razak Abalora usiku wa Manane. Kwamba ajiandae msimu ujao avae zi wao.
Anyway tuachane na hayo.
Leo nimekuja kuwauliza wadau wa soka la kibongo. Kuwa mmejiandaaje na aibu itakayoletwa na Simba SC kwa mara nyingine tena kwenye tasnia ya soka la Bongo. maana iyo mechi ya jumapili ilibidi Yanga SC waondoke na mabao kama 3 kwa Nunge hivi.
Jamaa wana uchochoro wa ajabu sana uani kwao, hadi najiuliza kwa ubovu wa Yanga SC hii, wanapataje ushindi mzuri kiasi kile. Mikia inabidi mjitafakari kwa mara nyingine tena.
Licha ya ukweli kwamba msimu uliopita mlikuwa na kikosi kizuri zaidi ya cha msimu huu, na bado mliweza kupokea vipigo vya mabao matano matano. Je hivi kwa kikosi hiki dhaifu cha msimu huu mnapanga kufanya nini huko CAFCL kama sio kuendelea kutiana aibu na watu wakaidhalau ligi ya Bongo.
Mimi binafsi naiona kadhia iliyo karibu na kope zangu. kilichotokea nyuma kitajirudia tena na tena msimu ujao wa klabu bingwa.
Uchebe alikuwa na nafsi kubwa ya kuibadilisha timu yenu, Mo akajifanya nae ni mtaalamu wa soka akamsepesha. Huyu naye kishingo ndio usiseme kitu, hata mechi anazoshinda unakuta naye wamemuwekapo kagoli kamoja ka ushkaji.
Muandae pa kuziweka sura zenu, nionacho ni kwamba baadae kidogo ataikimbia timu baada ya vipigo vya kudharirisha Taifa, atajiweka pembeni pia kwa kuona anachokiweka hakiendani kabisa na anachokipata.
Byreeee!
Kitambo sana sijapost pahala hap. Ila niwape pole Mikia Fc kwa kupoteza mechi dhidi ya Morrison FC. Halafu ile freekick ya jamaa imewafanya Viongozi wa Simba wampigie simu Razak Abalora usiku wa Manane. Kwamba ajiandae msimu ujao avae zi wao.
Anyway tuachane na hayo.
Leo nimekuja kuwauliza wadau wa soka la kibongo. Kuwa mmejiandaaje na aibu itakayoletwa na Simba SC kwa mara nyingine tena kwenye tasnia ya soka la Bongo. maana iyo mechi ya jumapili ilibidi Yanga SC waondoke na mabao kama 3 kwa Nunge hivi.
Jamaa wana uchochoro wa ajabu sana uani kwao, hadi najiuliza kwa ubovu wa Yanga SC hii, wanapataje ushindi mzuri kiasi kile. Mikia inabidi mjitafakari kwa mara nyingine tena.
Licha ya ukweli kwamba msimu uliopita mlikuwa na kikosi kizuri zaidi ya cha msimu huu, na bado mliweza kupokea vipigo vya mabao matano matano. Je hivi kwa kikosi hiki dhaifu cha msimu huu mnapanga kufanya nini huko CAFCL kama sio kuendelea kutiana aibu na watu wakaidhalau ligi ya Bongo.
Mimi binafsi naiona kadhia iliyo karibu na kope zangu. kilichotokea nyuma kitajirudia tena na tena msimu ujao wa klabu bingwa.
Uchebe alikuwa na nafsi kubwa ya kuibadilisha timu yenu, Mo akajifanya nae ni mtaalamu wa soka akamsepesha. Huyu naye kishingo ndio usiseme kitu, hata mechi anazoshinda unakuta naye wamemuwekapo kagoli kamoja ka ushkaji.
Muandae pa kuziweka sura zenu, nionacho ni kwamba baadae kidogo ataikimbia timu baada ya vipigo vya kudharirisha Taifa, atajiweka pembeni pia kwa kuona anachokiweka hakiendani kabisa na anachokipata.
Byreeee!