Umejiandaaje kwa aibu itakayoletwa na Simba SC kwenye michuano ya Klabu Bingwa 2020/21?

Sawa basi tufanye kubadilishana muende ninyi ligi ya mabingwa..kwa vile nyie mnaujua sana..
 
Ushiriki wa Yanga mashindano CAF:
1982-aL ahly vs Yanga (5-0)
1998 Al Ahly vs Yanga (4-0)
1998 Raja C VS yANGA (6-0)
2000 Zamalek VS Yanga (4-0)
2017 US Algers vs Yanga (4-0) .Bila kusahau 3 X 3 za kutosha tu.
Nani kavunja rekodi?
 

Hongera kwa Posti yako Nzuri.Nilidhani Mimi ndiyo nimeandika Hii Post.

Hakika umenena, Mo ndiyo Mwenyekiti wa Bodi, Mo ndio Kocha Mo ndio anaamua nani abaki nani asibaki, and the worst he is too immature yani hana akili lakini anajitia anaakili.

Tangu zile post zake za kujiuzulu hakika huyu jamaa namfananisha na Bocco Haram.

Uchebe alikuwa kocha Mzuri, aliandika Taarifa ya Utekelezaji kwa mwaka wa Fedha 2018/2019 ; taarifa yake ilitaka kikosi kisivinjwe lakini waongezwee baadhi ya wachezaji kuja kutia nguvu.

Mo akaleta u much know, Akashindwa kumbakisha Okwi, Niyonzima na wengineo, Uchebe alimaindi baada ya kuona report yake Mo kaifanya toilet paper.

Akaja na Wabrazili , na Msudani wake. Akaimaliza timu kwa Kumleta kishingo. Mo ndio mchawi Simba na vijisenti vyake vya masimango.

I swear to my ass; Simba Hii haitofika kokote kwenye michuano ya Kimataifa, ingawa wenyewe wanajiamini wana kikosi kipana; lakini mjinga mpe cheo , time will tell na watatolewa na timu ndogo hatua za awali kabisa.

Una plan ku compete na As Vita, Mazembe kwa beki ile ya walevi ? Kwa kipa gani ? Itawachukua not less than 5 years kupata kikosi cha mwaka jana; si mnamsujudia huyo Muhindi;

Timu haina beki ya maana wala kipa wa maana kwa mwaka mzima sasa; timu haina kocha mwenye mbinu na mkakati ; hivi Kishingo ana kazi gani , au yule matola madevu anayeingiza vidole puani Muda wote ( Nose Pick). kishingo ameletwa na Mo kocha ambae Hana background y’a maana ;he is not even competent. Angalia Mazembe; bench lote limetoka ; Yaani unamtoa Uchebe una muacha Udevu Matola Nose Pick , are you guys serious?

Yaani SSC ya leo tukiileta As Vita pale taifa , kwa beki yao na yule pazia la kipogolo linalokaa pale golini zitapigwa nyingi sana.

Mimi naomba wachukue kombe; mara Hii Mo lazima ajiuzulu Maana ana expectation kubwa sana sisi watoto wa mjini tunamcheki tu kwa Sababu tunajua hakuna timu, tumeona Mpira wa Azam , Tumeona mpira wa Yanga.

Upumbavu wa Yanga jana ni kuihofia Simba lakini jana mwananchi alitakiwa atie goli zaid yaa mbili: Sisi tupige Soka, tuwaache wao watumie Muda mwingi kuuza sura social media. Na maviti yao ya Kifahari, sisi tumekaa Kwenye udongo na tumewafunga na tutazidi kuwafunga maana udhaifu wao umeshajulikàna.

Na kombe wachukue lakini wajiandae na matokeo hatua za mwanzo kabisa Out.
 
Kiukweli Simba timu ya kawaida sana, kinachowapumbaza washabiki ni vile vipasi vifupi fupi visivyokuwa na malengo, huko champion league watatolewa mapema tu, na MO ndipo atakapojiuzulu rasmi.
Wewe team yako iliyo nzuri ikashiriki champions league!
 
timu haina kipa ,beki ,viungo wala mshambuliaji ? Na bado ni timuuu kwelii acheni uongo na dharau za kijinga kias hicho
siku zote timu bora huchukua lig
 
Unamuacha Kotei unasajili wauza matunda wa Brazil

Sent using Jamii Forums mobile app
Wajanja wamekula hela ya Kanjibai.

Wakisikia Yanga inamtaka Kichuya, wanamsajili fasta. Wanakula cha juu.

Wakisikia Yanga inamtaka Konde boy kwa million 50, wameenda kumchukua kwa 200M waikomoe Yanga.

Sasa watarudisha Kotei maana wanahisi Yanga inamtaka.

Msimu uhao Yanga itapeleka magarasa mengi Simba. Ni kuonyesha nia tu wao wanawahi kusajili. Wale tunaotaka kiukweli watakuja kwa route ya Morrison. Kimya kimya
 
Ushiriki wa Yanga mashindano CAF:
1982-aL ahly vs Yanga (5-0)
1998 Al Ahly vs Yanga (4-0)
1998 Raja C VS yANGA (6-0)
2000 Zamalek VS Yanga (4-0)
2017 US Algers vs Yanga (4-0) .Bila kusahau 3 X 3 za kutosha tu.
Nani kavunja rekodi?
KunA yanga 0 - 4 Gor mahia (2018)
Gor mahia 4-0 yanga (2018)
 
Mkuu hapana, Simba anawachezaji wazuri kushindana VPL sio huko CCL. Ndiyo maana vipigo nje vilikua vingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaah sawa ila unajua kujenga timu ya kuchukua CcL ni process ndefu hivyo hiki kikosi kinatakiwa kiwe na uwezo wa kufika walau makundi alafu ndio apo wataweza kushawishi wachezaji wakubwa
 
Aaaah sawa ila unajua kujenga timu ya kuchukua CcL ni process ndefu hivyo hiki kikosi kinatakiwa kiwe na uwezo wa kufika walau makundi alafu ndio apo wataweza kushawishi wachezaji wakubwa
Kushawishi kwa hela gani? Yaani walishindwa kuvunja benki kwa Tuyisenge & Bwalya. Matokeo yake wakaenda kuwaokota huko akina Wilker da Silva.

Tatizo la Simba linaanzia kwa muwekezaji mwenyewe, mpiga dili tu. Timu kufungwa na Mtibwa tena Mapinduzi CUP anakimbilia mtandaoni kuandika upuuzi eti analipa mishahara Bilioni 4 kwahiyo Simba isifungwe kisa analipa B4! Sasa muwekezaji wa namna hiyo unaona kwamba ana nia ya dhati kuipeleka Simba level za juu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…